RasJah
JF-Expert Member
- Nov 5, 2009
- 703
- 64
Tanzania inazidi kupoteza mwelekeo katika ngazi ya Uongozi wa Juu wazo limekuja baada ya kufanya tathmini ya muda mrefu. Mikataba mingi ya mashirika mengi haina kikomo cha mwisho kwa wakurugenzi wake. Mfano mikataba inaanzia miaka 3 - 5 na sheria inasema mkurugenzi atakaa madaraka siyo zaidi ya awamu mbili hata kama uongozi wake ni mzuri sana bado sheria ni msumeno anatakiwa kuachi madaraka.
TRA, mkusanya kodi za taifa kwa niaba ya serikali kuu, lakini wakurugenzi wake huwa wanafanya kazi kwa Mikataba ya miaka kati ya miaka 3-5 sasa wakurugenzi wao hawa kikomo sijui Hazina ambaye ndio mwajiri wao anafanya nini basi Taifa liseme kuwa TRA mikataba hakuna wawe kama watumishi wa kawaida kwani mishahara yao ni mikubwa sana na ma-fringe benefits manono Mfano mzuri DCG Luoga mkataba umekwisha tangu tarehe 15 Juni 2011 na amekaa TRA zaidi ya miaka 15 na sasa huyu mzee bado yupo TRA anasubiri serikali impe mkataba mwingine, mimi nashangaa sana ina-maana yeye Luoga hajisiki kuwa sasa ni bora aende akapumzike na kuwapisha watu wengi wenye nguvu na akili inayochemka na mawazo mapya! Hata Kitilya pia JK amemuongezea muda tayari ana umri wa miaka 60 tuna watanzania wengi uwezo kwani hawa jamaa tu!
Tuna vijana wana maliza vyuo vikuu wanatakiwa wapatiwe ajira na kwa mtindo huu hatutafika, ukilitimba, rushwa na upendeleo sehemu za kazi unalipeleka Taifa pabaya, wimbo wa Good Governance itakuwa ndoto kwa URT, tuige mtindo wa kuteua CEOs unaotumika Kenya na Ghana kwa kutumia kama za Bunge kuwahoji au kuwa interview na kuwa kuteua kama wanafaa kuongoza mashirika. Hata PS wa srikalini lazima nao wateuliwe kwa interview kuepeka bogus leaders kama David Jairo na kuondoa power ya Rais kuteua CEOs, na PSs lazima kuwe na independent elite group ambao wako highly skilled to search future leaders, not money mongers, taken up seminars and incapacitated by overseas study tours.
TRA, mkusanya kodi za taifa kwa niaba ya serikali kuu, lakini wakurugenzi wake huwa wanafanya kazi kwa Mikataba ya miaka kati ya miaka 3-5 sasa wakurugenzi wao hawa kikomo sijui Hazina ambaye ndio mwajiri wao anafanya nini basi Taifa liseme kuwa TRA mikataba hakuna wawe kama watumishi wa kawaida kwani mishahara yao ni mikubwa sana na ma-fringe benefits manono Mfano mzuri DCG Luoga mkataba umekwisha tangu tarehe 15 Juni 2011 na amekaa TRA zaidi ya miaka 15 na sasa huyu mzee bado yupo TRA anasubiri serikali impe mkataba mwingine, mimi nashangaa sana ina-maana yeye Luoga hajisiki kuwa sasa ni bora aende akapumzike na kuwapisha watu wengi wenye nguvu na akili inayochemka na mawazo mapya! Hata Kitilya pia JK amemuongezea muda tayari ana umri wa miaka 60 tuna watanzania wengi uwezo kwani hawa jamaa tu!
Tuna vijana wana maliza vyuo vikuu wanatakiwa wapatiwe ajira na kwa mtindo huu hatutafika, ukilitimba, rushwa na upendeleo sehemu za kazi unalipeleka Taifa pabaya, wimbo wa Good Governance itakuwa ndoto kwa URT, tuige mtindo wa kuteua CEOs unaotumika Kenya na Ghana kwa kutumia kama za Bunge kuwahoji au kuwa interview na kuwa kuteua kama wanafaa kuongoza mashirika. Hata PS wa srikalini lazima nao wateuliwe kwa interview kuepeka bogus leaders kama David Jairo na kuondoa power ya Rais kuteua CEOs, na PSs lazima kuwe na independent elite group ambao wako highly skilled to search future leaders, not money mongers, taken up seminars and incapacitated by overseas study tours.