Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Jamani tujadilini huu mkanganyiko.
Mbunge wa mbalali alipatikana na kosa la jinai. Hatua hiyo ilipelekea ahukumiwe kwenda jela au kulipa faini ya shillingi laki tano. hadi sasa anaendelea kushikilia cheo chake cha Ubunge.
Na kwamba; endapo mtumishi wa umma atapatikana na kosa/hatia ya jinai, sheria ya kazi pamoja na standing order zinaelekeza afukuzwe kazi.
Je, kwa nini mbunge aendelee na Ubunge wake baada ya kupatikana na hatia?
Mbunge wa mbalali alipatikana na kosa la jinai. Hatua hiyo ilipelekea ahukumiwe kwenda jela au kulipa faini ya shillingi laki tano. hadi sasa anaendelea kushikilia cheo chake cha Ubunge.
Na kwamba; endapo mtumishi wa umma atapatikana na kosa/hatia ya jinai, sheria ya kazi pamoja na standing order zinaelekeza afukuzwe kazi.
Je, kwa nini mbunge aendelee na Ubunge wake baada ya kupatikana na hatia?