KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Nimefurahi sana kusikia kuwa Viongozi wa Juu wa Chadema wameitisha Kikao Cha kamati kuu kujadili Masuala nyeti baada ya Wabunge wake wote kutoka ndani ya Bunge kususia Kusomwa kwa Mara ya pili Mswaada wa Katiba mpya!!
Pia nimefuatilia sana kwa Upande wa NCCR wabunge wawili tu (Davidi Kafulila na Felix Mkosamali) ndio waliotoka nje na kuungana na CHEDEMA wakati Moses Machalo na Agripina Buyoya walibakia ndani ya Bunge Kupima joto na baada ya joto la wananchi kuwa kali nao wametoka kinafiki na kuungana na CHADEMA.
Hofu yangu ni Kwamba Jemu Mbatia ni CCM-C, Wakati CUF ni CCM-B, sasa CHADEMA wameitisha mkutano wa Kamati kuu kujadili suala hili na kulipeleka kwa Wananchi , Lakini Jemus Mbatia amenyamazishwa na CCM mpaka sasa Wabunge wake hawana msimamo wanasubili tamko la kamati kuu ya CDM.
Pia Katibu mkuu NCCR alianza kwa kuwaponda Kafulila na Mkosamali huku akiwapongeza Moses na Agripina Je , hapo kuna Usalama!!
Je, Kwa nini Jemus Mbatia asiweke wazi Msimamo wa NCCR na kukaa pamoja na Freeman Mbowe na kuweka msimamo wa pamoja juu suala la kugomea Mswaada???
Je kuna umoja wa dhati kati ya Mbatia (CCM-C) na Chadema ??
Mimi naona Mbatia ametumwa na CCM kuja kuharibu suala la maandamano ya katiba!!!
Pia nimefuatilia sana kwa Upande wa NCCR wabunge wawili tu (Davidi Kafulila na Felix Mkosamali) ndio waliotoka nje na kuungana na CHEDEMA wakati Moses Machalo na Agripina Buyoya walibakia ndani ya Bunge Kupima joto na baada ya joto la wananchi kuwa kali nao wametoka kinafiki na kuungana na CHADEMA.
Hofu yangu ni Kwamba Jemu Mbatia ni CCM-C, Wakati CUF ni CCM-B, sasa CHADEMA wameitisha mkutano wa Kamati kuu kujadili suala hili na kulipeleka kwa Wananchi , Lakini Jemus Mbatia amenyamazishwa na CCM mpaka sasa Wabunge wake hawana msimamo wanasubili tamko la kamati kuu ya CDM.
Pia Katibu mkuu NCCR alianza kwa kuwaponda Kafulila na Mkosamali huku akiwapongeza Moses na Agripina Je , hapo kuna Usalama!!
Je, Kwa nini Jemus Mbatia asiweke wazi Msimamo wa NCCR na kukaa pamoja na Freeman Mbowe na kuweka msimamo wa pamoja juu suala la kugomea Mswaada???
Je kuna umoja wa dhati kati ya Mbatia (CCM-C) na Chadema ??
Mimi naona Mbatia ametumwa na CCM kuja kuharibu suala la maandamano ya katiba!!!