:embarrassed::redfaces::hungry::disapointed::Cry::embarassed2::sad:INAUDHI MNOOOO! KWA JINSI MAMBO YA HII NCHI YANAVYOENDESHWA NA HAWA WATU.....NAHISI KUJILIPUA KABISA!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwa hiyo wenye kustahili kupongezwa ni wale wenye kurudi - kitu ambacho naamini ni fair maana ni kuwa kuna kitu labda wamefanya kuweza kustahili kurudi na hasa wale ambao wamedumu kwenye nafasi mbalimbali (kama waziri/naibu) kuanzia JK alipoingia madarakani. Lakini vipi kuhusu hilo wazo la kuzawadia matokeo kwa kutoa bonus ya nguvu na watu wakajua kuwa akimaliza miaka mitano na akiwa na matokeo yanayopimika na endelevu x,y anastahili bonus ya kiasi fulani (either fixed or a percentage of sort).. ?