BABA JUICE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 426
- 52
Kwanini lawama zote apewe mama salma....kuna watu ndani ya ccm wanamtumia huyu mama unafikiri maamuzi anayo yeye?au ratiba anapanga yeye?huyu mama yeye anatumika kwa maslai ya chama lakini watanzania wamegundua hilo....kama ulimsikiliza makamba alisema garama zote zinatoka ccm wakati si kweli yule mama anatumia magari ya serikali,kwani ccm si wanayomagari yao?yale magari 200 ambayo hayakulipiwa kodi yako wapi......kuitoa ccm madarakani tunaitaji pesa,nguvu na nia ya uhakika....elimu kwa watanzania wengi pia inahitajika.