Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
hivi kumbe TZ kuna rais?
Mkuu, unaweza kunisaidia mie pamoja na wana JF wengine.
Uongozi wa Chadema walivyokwenda Ikulu walikwenda kuonana na nani?
ipo chooni labda kama hukuangalia vizuri
chadema hatuweki picha ya mafisadi kama inakukela nenda mahakamani.Great Thinkers..
Siku za karibuni nilipata nafasi ya kutembelea Makao Makuu ya Chadema, Kinondoni Mtaa wa Ufipa.
Kitu cha kushangaza kama kawaida za ofisi kuna picha mbili ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete.
Ofisi za Chadema hakuna picha ya Rais Kikwete, kuna picha ya Nyerere tu.
Chadema, Rais Kikwete ni Rais wa Tanzania wekeni picha ya Rais ukutani ndani ya ofisi zenu
Mkuu, unaweza kunisaidia mie pamoja na wana JF wengine.
Uongozi wa Chadema walivyokwenda Ikulu walikwenda kuonana na nani?
Ni jambo la aibu kabisa kujaza picha za Mustafa Sabodo, na kumusahau Mkuu wa nchi Rais Jakaya Kikwete
kwanini makao makuu ya CCM hakuna picha ya Dr. Slaa?
Mkuu, hivi a loser Dr. Slaa ni nani Tanzania?
Tutaweka picha ya mfadhili wetu DAVID CAMEROON, kwani sera zake tunazikubali
Great Thinkers..
Siku za karibuni nilipata nafasi ya kutembelea Makao Makuu ya Chadema, Kinondoni Mtaa wa Ufipa.
Kitu cha kushangaza kama kawaida za ofisi kuna picha mbili ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete.
Ofisi za Chadema hakuna picha ya Rais Kikwete, kuna picha ya Nyerere tu.
Chadema, Rais Kikwete ni Rais wa Tanzania wekeni picha ya Rais ukutani ndani ya ofisi zenu
Great Thinkers..
Siku za karibuni nilipata nafasi ya kutembelea Makao Makuu ya Chadema, Kinondoni Mtaa wa Ufipa.
Kitu cha kushangaza kama kawaida za ofisi kuna picha mbili ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete.
Ofisi za Chadema hakuna picha ya Rais Kikwete, kuna picha ya Nyerere tu.
Chadema, Rais Kikwete ni Rais wa Tanzania wekeni picha ya Rais ukutani ndani ya ofisi zenu
Great Thinkers..
Siku za karibuni nilipata nafasi ya kutembelea Makao Makuu ya Chadema, Kinondoni Mtaa wa Ufipa.
Kitu cha kushangaza kama kawaida za ofisi kuna picha mbili ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete.
Ofisi za Chadema hakuna picha ya Rais Kikwete, kuna picha ya Nyerere tu.
Chadema, Rais Kikwete ni Rais wa Tanzania wekeni picha ya Rais ukutani ndani ya ofisi zenu
Hv Dr. Slaa anaoa lini, au ndo mpaka aingie mjengoni (nasikiaga wanasema no money no honey)
Great Thinkers..
Siku za karibuni nilipata nafasi ya kutembelea Makao Makuu ya Chadema, Kinondoni Mtaa wa Ufipa.
Kitu cha kushangaza kama kawaida za ofisi kuna picha mbili ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete.
Ofisi za Chadema hakuna picha ya Rais Kikwete, kuna picha ya Nyerere tu.
Chadema, Rais Kikwete ni Rais wa Tanzania wekeni picha ya Rais ukutani ndani ya ofisi zenu