Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,461
- 39,928
Hivi kwanini filamu kadha wa kadha za kiswahili, zenye lengo la kuwafikia wazungumzaji wa Kiswahili, zinapewa majina ya Kiingereza. Ni sawa sawa na mtu anatunga wimbo unasema "Forever Together" halafu wimbo mzima uko katika Kiswahili! Naomba mnisaidie, hivi hizi filamu zinauzwa sana nchi ambazo wanazungumza sana Kiingereza?