Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,533
- 8,619
serikali ya kikwete imetumia dola milioni 4 za hazina kushughulikia suala la mahujaji ikiwemo kuwakodia ndege..wakati pesaa waliyotoa nauli mahujaji..dola 1.7 millioni ..imeliwa kitapeli..
sasa wengine mnaweza mkaona ni sawa serikali kugharamia safari ambayo watendaji wa ATC walishamuambia mwenyekiti wao kuwa hawaziwezi kwa sasa..na sababu kuu ni wazi kuwa bado hawana ndege za kutosha ..yeye akaleta uswahili na tamaa ,kujuana kulazimisha biashara...yote haya yamefanyika na bado huyo nyanganyi yupo ofisini....
sasa wengine mnaweza mkaona ni sawa serikali kugharamia safari ambayo watendaji wa ATC walishamuambia mwenyekiti wao kuwa hawaziwezi kwa sasa..na sababu kuu ni wazi kuwa bado hawana ndege za kutosha ..yeye akaleta uswahili na tamaa ,kujuana kulazimisha biashara...yote haya yamefanyika na bado huyo nyanganyi yupo ofisini....