Kwanini magari ya Rais yapate hitilafu wakati huu!?

Kivumah

JF-Expert Member
Jan 7, 2008
2,428
1,050
Ndg zangu wanajamvi wenzangu hebu tujadili hili suala, najiuliza ni kwanini Magari anayotumia Mh.Rais yamepata hitilafu wakati huu kama ambavyo tumesikia matukio mfululizo katika Media, tukio la Dsm na Moshi. kwa kweli ni matukio ambayo hayajazoeleka katika masikio na macho ya watanzania. najiuliza kuna nini kinaendelea mpaka Gari la Rais lipate hitilafu. Tujadili
 
Ndg zangu wanajamvi wenzangu hebu tujadili hili suala, najiuliza ni kwanini Magari anayotumia Mh.Rais yamepata hitilafu wakati huu kama ambavyo tumesikia matukio mfululizo katika Media, tukio la Dsm na Moshi. kwa kweli ni matukio ambayo hayajazoeleka katika masikio na macho ya watanzania. najiuliza kuna nini kinaendelea mpaka Gari la Rais lipate hitilafu. Tujadili

Tunakaribia October kwa hiyo mambo kama haya lazima yajitokeze...mwaka huu wakina mwizukulu jilala wameshindwa kazi nini???
 
Gari kuharibika ni jambo la kawaida.....................la msingi ni kujiuliza je magari yanapata service makini! Ukizingatia ziara nyingi na ndefu Mkuu anazofanya ndani ya nchi, ni dhahiri yanahitaji matengenezo ya kina. Sasa hayo matengenezo huwa toshelezi? Hivi hizi gari zishatembea km ngapi tangu ziletwe nchini? Usije kuta zishapitisha 100,000 km, nani anajali?
 
Gari kuharibika ni jambo la kawaida.....................la msingi ni kujiuliza je magari yanapata service makini! Ukizingatia ziara nyingi na ndefu Mkuu anazofanya ndani ya nchi, ni dhahiri yanahitaji matengenezo ya kina. Sasa hayo matengenezo huwa toshelezi? Hivi hizi gari zishatembea km ngapi tangu ziletwe nchini? Usije kuta zishapitisha 100,000 km, nani anajali?
Kwetunikwetu umenena.poor maintanance na lolw quality fuels
na hii ni kwa kuwa hizo Land Cruiser zina protection system japo ina kasoro ya kup;okea mafuta machafu kwani Landrover discovery IV ukiattemt kurefill mafuta machafu inafunga mfuniko wa tenki kabisa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom