silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Jamani labda mimi ni mkereketwa sana au ni mdadisi sana Lakini kwa hili naomba Balaa la kufutiwa Post hii isinikute,
Nataka kajibu ya Swali langu hapo juu,
Sija wahi sikia Muheshimiwa Zotto Kabwe ameambiwa akaandike Maelezo ya Kuthibitisha Kuwa Waziri fulani ni muongo then uthibitisho huo ukasomwa bungeni mbele ya wabunge na Mawaziri ili iwe Fundisho kwa mawaziri wote na Pia Watanzania wajue uchafu ambao Mawazili na wabunge wao wanaufanya kinyume na kazi iliyo wapeleka?
Hii inanitatanisha sana kuwa Spika anawalinda sana wabadhilifu na wezi wa pesa za kitanzania na Waongo wa maendelea maneno na si utendaji katika bunge letu Kwa maana hiyo Hatufai!!!!
Nataka kajibu ya Swali langu hapo juu,
Sija wahi sikia Muheshimiwa Zotto Kabwe ameambiwa akaandike Maelezo ya Kuthibitisha Kuwa Waziri fulani ni muongo then uthibitisho huo ukasomwa bungeni mbele ya wabunge na Mawaziri ili iwe Fundisho kwa mawaziri wote na Pia Watanzania wajue uchafu ambao Mawazili na wabunge wao wanaufanya kinyume na kazi iliyo wapeleka?
Hii inanitatanisha sana kuwa Spika anawalinda sana wabadhilifu na wezi wa pesa za kitanzania na Waongo wa maendelea maneno na si utendaji katika bunge letu Kwa maana hiyo Hatufai!!!!