Kitu kizuri kula na mwenzio Dena,hata wewe karibu tuwe pamoja na bacha!!
Taratibu DA! - under 18 hawa - tuko pamoja?
Ngoja nifikirie kwanza maana mie nikipenda naingia mzima mzima miguu, mikono hadi kichwa nazama kabisa sionekani
Huyu Hashy nae Dena,namfikiria katika zile siku utakazokuwa na Bacha niwe nampa nafasi yeye!!!
Huyu Hashy nae Dena,namfikiria katika zile siku utakazokuwa na Bacha niwe nampa nafasi yeye!!!
Michelle wewe umenichekesha kweli. Tena ataita na baba yake mzazi mimi sikuogopi bana
Mimi sina navuta pumzi kabla ya kutangaza nia yangu ya kumsaka kimwana ndani ya JF....lol
Nani kakwambia hawahoji?? WeweMbona mmesahau mada kuu? Kwann mademu hawahoji kupotezewa?
Thawa,most welcome,anytime!!
Bacha wetu yuko fit..................lol:smile-big:
Huyu Hashy nae Dena,namfikiria katika zile siku utakazokuwa na Bacha niwe nampa nafasi yeye!!!
Ila taratibu Michelle,
mi sometimes wivu wangu mbaya,
yaani uwe unaenda kwa hashy mi nakutizama tu, .........du!!!!!!!
staki kuwa spair tairi mie......
Ila taratibu Michelle,
mi sometimes wivu wangu mbaya,
yaani uwe unaenda kwa hashy mi nakutizama tu, .........du!!!!!!!
Sasa wewe naona unaanza kuchemsha wewe wako wangapi yeye mmoja tu wivu??
Nashanga!!!
Mkuki kwa nguruwe...........mmmh!
jambo dogotu. Unaweza ukavutiwa na demu kwasana na kuamua kumtokea na kumpiga sound hadi polepole akawa anaelekea kibra. Ghafla unazipata za kiintelejesia ya kuwa kumbe ni mama huruma ambaye anagawa kwa kila rika, ukastuka na kumshiti kiaina. Utakuta anapenda tu anakutafuta lakini hata akikuona hakuulizi kuhusu yale masuala, kwanini wapate taabu hivyo?