Luo
Senior Member
- Jan 19, 2012
- 139
- 92
Poleni na mihangaiko ya siku itifaki ikiwa imezingatiwa sitaki niwachoshe na maneno mengi.
Hivi ni kwanini Madaktari(baadhi) huenda kinyume na mahitaji ya wagonjwa wao? mfano halisi ni kwangu hapa nilienda hospitali moja ya rufaa ya serikkali hapa mwanza (sek ture) nikamwelezea dactari shida yangu.
Nilishangaa aliponiambia eti nikapime damu na mkojo(moyoni nikisema huyu daktari hajui nimeacha labaratori ngapi hadi kufika hapa?) ilihali sina homa wala nini nikasema isiwe shida labda itakuwa ni hatua ya mwanzo ya matibabu yangu.
Nilienda lab. majibu yakatoka malaria sina bali leucocytes...(U.T.I), akaniandikia dawa sawa japo nikamweleza vipi mimi nilikuja nataka vipimo flani dactari kwa madaha kanijibu hivi: MIMI NI DAKTARI WEWE NI MKULIMA HIVYO HUNIFUNDISHI KAZI. Mimi niliondoka pale sababu nilijua maamuzi ya hasira siku zote sio mazuri. Bahati yake sikupata jengo la utawala nimreport.
Nilichogundua;
1. Usugu wa ugonjwa sababu anaweza kuwa daktri pia.
2.Baadhi ya vyombo vya upimaji hakuna katika hospitali(kama cha kupima choo(stool) kimeharibika (sek ture).
3.Majibu ya ajabu ajabu ya baadhi ya madaktari hupelekea kupigwa na wagonjwa.
4.Wagonjwa hutumika kama experimental units(majaribio) kwa madawa ya hospital na kujaza sumu nyingi mwilini.
Suluhisho;
Madaktari acheni fanya kazi kwa mazoea kwani mnavyosema ni medern madicinal na iwe kweli sio mnakua kama mnapiga ramli.
Mwenye hela zake atafute tiba sahihi na ya wakati mahala anapoweza.
Serikali itoe ajira kwani baadhi tunaangamia kwa kukosa gharama za matibabu kwa sababu elfu 10 yangu imekwenda bure sababu sikupata huduma ninayohiitaji.
Hivi ni kwanini Madaktari(baadhi) huenda kinyume na mahitaji ya wagonjwa wao? mfano halisi ni kwangu hapa nilienda hospitali moja ya rufaa ya serikkali hapa mwanza (sek ture) nikamwelezea dactari shida yangu.
Nilishangaa aliponiambia eti nikapime damu na mkojo(moyoni nikisema huyu daktari hajui nimeacha labaratori ngapi hadi kufika hapa?) ilihali sina homa wala nini nikasema isiwe shida labda itakuwa ni hatua ya mwanzo ya matibabu yangu.
Nilienda lab. majibu yakatoka malaria sina bali leucocytes...(U.T.I), akaniandikia dawa sawa japo nikamweleza vipi mimi nilikuja nataka vipimo flani dactari kwa madaha kanijibu hivi: MIMI NI DAKTARI WEWE NI MKULIMA HIVYO HUNIFUNDISHI KAZI. Mimi niliondoka pale sababu nilijua maamuzi ya hasira siku zote sio mazuri. Bahati yake sikupata jengo la utawala nimreport.
Nilichogundua;
1. Usugu wa ugonjwa sababu anaweza kuwa daktri pia.
2.Baadhi ya vyombo vya upimaji hakuna katika hospitali(kama cha kupima choo(stool) kimeharibika (sek ture).
3.Majibu ya ajabu ajabu ya baadhi ya madaktari hupelekea kupigwa na wagonjwa.
4.Wagonjwa hutumika kama experimental units(majaribio) kwa madawa ya hospital na kujaza sumu nyingi mwilini.
Suluhisho;
Madaktari acheni fanya kazi kwa mazoea kwani mnavyosema ni medern madicinal na iwe kweli sio mnakua kama mnapiga ramli.
Mwenye hela zake atafute tiba sahihi na ya wakati mahala anapoweza.
Serikali itoe ajira kwani baadhi tunaangamia kwa kukosa gharama za matibabu kwa sababu elfu 10 yangu imekwenda bure sababu sikupata huduma ninayohiitaji.