Kwanini Mabint nao huitana hivi..!

Post zangu zina majibu ya swali lako. . .ila naweza nikarudia tena kua jinsia zote zina watu wanaodharau wenzao wa jinsia moja, na hicho ndicho kitu ambacho ni cha uhakika. Mambo ya nani zaidi siwezi kujua maana sijawahi anzisha mashindano. Sasa jibu kuhusu huo uchunguzi/utafiti wako ili nielewe madai yako yako yanapotokea.


truth will never b told..! My kantri
 
Back
Top Bottom