truth be told..!
hayo majina cye hatuitani na kuropoka mtaani kama mfanyavyo nyie..
Which truth? That uzushi of yours?
Watu kuitana majina hakutokani na jinsia, kunatokana na tabia zao, insecurity zao na matatizo yao, maugomvi yao n.k. Madai kama yako hua yananichosha sana. . .utasikia 'wanawake hawapendani' utadhani wanaume wote wanapendana. Ndugu tu wapo wasiopendana sembuse watu wa jinsia moja?
Tofauti sana na kwetu.. Nahisi kama Wanaume twaheshimiana..
hayo majina cye hatuitani na kuropoka mtaani kama mfanyavyo nyie..
soma tena heading.. Upande gani ni hatari kuliko mwingne.... Kuchafuana!
Which truth? That uzushi of yours?
Watu kuitana majina hakutokani na jinsia, kunatokana na tabia zao, insecurity zao na matatizo yao, maugomvi yao n.k. Madai kama yako hua yananichosha sana. . .utasikia 'wanawake hawapendani' utadhani wanaume wote wanapendana. Ndugu tu wapo wasiopendana sembuse watu wa jinsia moja?
..kicheche..
..mcharuko yule..
..mwizi tu yule.. etc
Tofauti sana na kwetu.. Nahisi kama Wanaume twaheshimiana..
Heading sio kitu, ndio maana za magazeti ya udaku hua tofauti na kile ambacho ndicho. Kwenye content umetetea kwamba nyie mnaheshimiana. . .utafiti/uchunguzi wako ulifanya kwa wanaune na wanawake wangapi mpaka ukapata huo uwiano unaoonyesha nyie mnaheshimiana zaidi ya wanawake?
hujanijibu swal langu.. Au kwa vile cjaweka.. Alama ya kiulizo.
wa wapi hao... Vijana wa Sekondar labda.
kalale..