Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,833
- 155,781
Sio Tanzania bali duniani kote vifo vya mastaa mara nyingi ni vya ghafla sana.
Complex na Vivian walikufa kwenye ajali,
James Dandu alikufa kwenye ajali,
Whitney Houston kifo chake ni utata mtupu hadi sasa,
JOhn Mjema,
Michael Jackson,
2pac & Big...fulll utata
Kanumba.....utata mtupu,
Bruce Lee... mizengwe na magirini kibao.
Je kuna nini nyuma ya mapazia? Au kwa mafanikio yao wamemuona MUNGU kuwa hawashindi kwa lolote wala chochote?
Complex na Vivian walikufa kwenye ajali,
James Dandu alikufa kwenye ajali,
Whitney Houston kifo chake ni utata mtupu hadi sasa,
JOhn Mjema,
Michael Jackson,
2pac & Big...fulll utata
Kanumba.....utata mtupu,
Bruce Lee... mizengwe na magirini kibao.
Je kuna nini nyuma ya mapazia? Au kwa mafanikio yao wamemuona MUNGU kuwa hawashindi kwa lolote wala chochote?