mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Edward Lowassa amepata umaarufu kwa kumwaga mapesa kwenye miradi mbali mbali hasa makanisani. Ajabu kuna wale wanaoitwa ndugu zake-wamasai, ambao hawasaidii! Je anachofanya Lowassa hakikaribii unafiki?
Yesuanasema kuwa ndugu yetu wa kwanza ni majirani wenye shida
Usipompendajirani unayemjua inakuwaje umpende wa mbali kama siyo kumtumia kwa malengo yasiri?
Lowassaamekuwa akizunguka mikoani kutoa misaada ya pesa nyingi lakini hajiuliziwanafunzi wa Moita Sekondari wanakunywa na kufulia maji ya aina gani? Achiliambali wanafunzi wa Nanja Sekondari ambayo ilizinduliwa na Jakaya M.Kikwete nakutoa ahadi kibao lakini mpaka leo watoto wale wanasoma kwa kutumia chemli.
Lowassa hajui wako wapi wakinamama wakijiji cha Arkatan ambao wanaishi kwa kutengeneza kokoto kwa mikono.Wala hajuiwako wapi leo Morani ambao wanaishi kwa kulinda wanaume na wake zao kwa kutumiasime na rungu usiku na mchana kuuza ugoro.
Yesuanasema kuwa ndugu yetu wa kwanza ni majirani wenye shida
Usipompendajirani unayemjua inakuwaje umpende wa mbali kama siyo kumtumia kwa malengo yasiri?
Lowassaamekuwa akizunguka mikoani kutoa misaada ya pesa nyingi lakini hajiuliziwanafunzi wa Moita Sekondari wanakunywa na kufulia maji ya aina gani? Achiliambali wanafunzi wa Nanja Sekondari ambayo ilizinduliwa na Jakaya M.Kikwete nakutoa ahadi kibao lakini mpaka leo watoto wale wanasoma kwa kutumia chemli.
Lowassa hajui wako wapi wakinamama wakijiji cha Arkatan ambao wanaishi kwa kutengeneza kokoto kwa mikono.Wala hajuiwako wapi leo Morani ambao wanaishi kwa kulinda wanaume na wake zao kwa kutumiasime na rungu usiku na mchana kuuza ugoro.