Masaburi masaburi masaburi harufu chaaffuuuuuuuu!!!chama cha kususa na kuandamana kina tabu sana aisee..ngoja na nyie mpate dola tutawaona kama mtayapenda maandamano yasiyo na msingi,watu hamfanyi kazi kuuutwa barabarani kuandamana na kususa plus kupinga pinga kila jambo halafu mnategemea shilingi eti iwe strong...kwa uzalishaji upi?