Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 7,004
- 12,475
Serikali wanapotoa tangazo kwenye gazeti huwa wanataka liwafikie wananchi, so
Wanapotangaza na wewe huwa wanataka kujua unachapisha nakala za kuwezesha gazeti lako kusomwa na watu wengi?
Je gazeti lako linasomwa kweli mtaani?
Return yako ni asilimia ngapi?
Mwisho kabisa MKONO MTUPU haulambwi, na hawa ndugu zetu wana sifa hiyo.
Wanapotangaza na wewe huwa wanataka kujua unachapisha nakala za kuwezesha gazeti lako kusomwa na watu wengi?
Je gazeti lako linasomwa kweli mtaani?
Return yako ni asilimia ngapi?
Mwisho kabisa MKONO MTUPU haulambwi, na hawa ndugu zetu wana sifa hiyo.