environmental
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,054
- 137
Uhuru wa kuwasiliana na marafiki ndugu na jamaa unapungua kwa kiasi kikubwa unapokuwa na mahusiano ya kudumu na mwenza wako, je ni sahihi kupoteza uhuru huu muhimu wa asilia?
Uhuru wa kuwasiliana na marafiki ndugu na jamaa unapungua kwa kiasi kikubwa unapokuwa na mahusiano ya kudumu na mwenza wako, je ni sahihi kupoteza uhuru huu muhimu wa asilia?[/QUOTEa ]
ni sahihi kupunguza mawasiliano maana ktk list hiyo kutakuwa na wakaka na wadada waliokuwa alternative, baada ya hapo inabidi ujiheshimu,pia mtu aliye single,uhuru wake hauwezi kufanana na aliyeoa.
Uhuru wa kuwasiliana na marafiki ndugu na jamaa unapungua kwa kiasi kikubwa unapokuwa na mahusiano ya kudumu na mwenza wako, je ni sahihi kupoteza uhuru huu muhimu wa asilia?[/QUOTEa ]
ni sahihi kupunguza mawasiliano maana ktk list hiyo kutakuwa na wakaka na wadada waliokuwa alternative, baada ya hapo inabidi ujiheshimu,pia mtu aliye single,uhuru wake hauwezi kufanana na aliyeoa.
nahitaji uhuru wote je si haKI YANGU YA MSINGI?
nitakuwa mtiifu kwenye mapenzi yangu, naitaji kudumu na marafiki zangu wa jinsia zotekama ulikuwa maaarufu wa kuflirt kabla ya kumpata huyo laazizi lazima ukose uhuru,tena simu yako mwenyewe unawezaa kuichukia, ikiingia call tu au message huna amani lakini ule urafiki wa kawaida tu haiwezekani bana hakuna kitu utaongea kimkwaze mwenzio,
Huyo mtu wako anatakiwa kufahamu kwamba wewe hukuzaliwa na kukulia kisiwa ambacho hakina watu. Na wewe msaidie kulitambua hilonitakuwa mtiifu kwenye mapenzi yangu, naitaji kudumu na marafiki zangu wa jinsia zote
Ni kweli mawasiliano hayana budi KUPUNGUWA kwa marafiki, ndugu na jamaa kwani wakati huo unakuwa umeunganishwa na yule aliye ASILI ya mawasiliano yako. Yaani alipoumbwa ADAM akaumbwa HAWA na si ndugu/jamaa au rafiki mfano wa ADAMU. But cha msingi ni kupungua kwa mawasiliano haya kwani huamia kwa ndugu yako huyu/mwili mmoja nawe..angalizo Mawasiliano yakifa hapo pana tatizo na panaleta kila haja ya kurejea mwanzo na kutatua hii kitu..Uhuru wa kuwasiliana na marafiki ndugu na jamaa unapungua kwa kiasi kikubwa unapokuwa na mahusiano ya kudumu na mwenza wako, je ni sahihi kupoteza uhuru huu muhimu wa asilia?
ni sahihi kupunguza mawasiliano maana ktk list hiyo kutakuwa na wakaka na wadada waliokuwa alternative, baada ya hapo inabidi ujiheshimu,pia mtu aliye single,uhuru wake hauwezi kufanana na aliyeoa.