Kwanini kuwa na mawaziri toka Zanzibar wakati wao hawana hata mmoja toka bara?

..ndiyo maana wengine tunasema Muungano uvunjwe.

..kwanza wa-Zenj hawapendi kutambulishwa kama wa-Tanzania.
 
Kuna serikali ya Znz na Serikali ya Muungano. Serikali ya Muungano lazima iwe na wawakilishi wa nchi zote mbili.
 
Kaka Hapa kuna Watanganyika ndo sie wa BARA na Watanzania ambao ni Wazenji so the difference is clear! km vipi ikomboe nchi yakooo
 
Wakuu hii imekaaje? Naona kama kuna harufu ya kutawaliwa hapa au mimi naiona vibaya? Kwa hesabu za haraka haraka " A equals to B but B is not necessarily equals to A". Wabunge mpooooooo!!!!!!!! Kuna haja ya kufufua mjadala wa Tanganyika yetu.

For the reservation to the Parliament and Executive of the United Republic(of Tanzania) of the following matters:-
i) the Constitution and government of the United Republic,
ii) External Affairs;
iii) Defence;
iv) Police
v) Emergency Powers;
vi) Citizenship;
vii) Immigration;
viii) External trade and borrowing;
ix) THE PUBLIC SERVICE OF THE UNITED REPUBLIC
x) Incime tax, corporation tax, customs and excise duties;
xi) Harbours, civil aviation, posts and telegraphs;
and for the exclusive authority of the said Parliament and Executive in such matters throughout and for the United Republic and in all other matters in and for Tanganyika;

Na mengineyo yalioongezwa katika orodha hiyo hata kufikia (I think 21 matters)

Sasa bana Shilanona, jaribu kukuza ufahamu wako kwa kupitia documents kadhaa kabla hujamwaga sumu kama hii. Tena still Article of Union haikutoa ratio za ajira katika public services-
 
Katika Baraza "jipya" la Mawaziri (29) aliowateua JK kuna Mawaziri wanne kutoka Zanzibar wakati huhuo kuna Mikoa mitatu hakuna Waziri hata mmoja...

Kuna nini Zanzibar hadi kuwa na uwakilishi mkbwa kiasi hik katika Baraza la Mawaziri?
 
Kigoma did very best in 2010 poll ...... Wamewachagua watumishi wao wa kweli ndiyo maana watumishi hao hawakuchaguliwa na serikali iliyo na mtindio wa utendaji kazi na kuleta maendeleo
 
ha ukabila umeanza jf
tukitaka kuweka kila kabila mnapiga kelele
 
Katika Baraza "jipya" la Mawaziri (29) aliowateua JK kuna Mawaziri wanne kutoka Zanzibar wakati huhuo kuna Mikoa mitatu hakuna Waziri hata mmoja...

Kuna nini Zanzibar hadi kuwa na uwakilishi mkbwa kiasi hik katika Baraza la Mawaziri?

Muhimu ni kuwa ni WATANZANIA
 
Katika Baraza "jipya" la Mawaziri (29) aliowateua JK kuna Mawaziri wanne kutoka Zanzibar wakati huhuo kuna Mikoa mitatu hakuna Waziri hata mmoja...

Kuna nini Zanzibar hadi kuwa na uwakilishi mkbwa kiasi hik katika Baraza la Mawaziri?
Kwani kigezo kilikuwa mtu atokako........??
 
Muhimu ni kuwa ni WATANZANIA
Hivi wazanzibari ni watanzania kumbe?
Niliwahi kuwa ng'ambo wakati fulani, nikakutana na ndugu yangu wa visiwani, wakati tunajitambulisha, nikasema i am from tanzania. yeye akasema he is from Zanzibar tena kwa mbwembwe sana.
 
ninaomba nieleweshe baadaya ya mabadiliko ya katiba ya zanzibar tumeungana nini ?je rais wa muungano anaweza k utoa kauli yoyote kuhusu zanzibar?
 
Back
Top Bottom