Kwa muda mrefu sasa nimeona watu wengi kila baada ya kumaliza haja ndogo hutema mate kwenye mkojo wake. Hii hutokea mara nyingi kwenye public toilets (kwa sisi wanaume), porini (saa ya kuchimba dawa safarini) hata pembezoni mwa kuta.
Hivi nini chanzo cha hii tabia?
Hivi nini chanzo cha hii tabia?