VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Nini kinachotisha zaidi ya Mungu? Nini kinachokwamisha au kuwezesha zaidi ya Mungu? Binadamu si kitu.Hatupaswi kuogopana. Issue ndogo tu ya kutaja majina ya Wa-Zitto waliopokea rushwa ndio itupelekeshe namna hii? Acheni ujinga jamani.Spika,hakikisha unataja majina.Utavunjaje Kamati bila ya kututajia majina ya wachafuzi wa Kamati iliyovunjwa? Umetumia 'intelijensia' tu?
Nawe Mbatia,kama unawajua wataje. Kufichafcha kunatuharibia mambo mengi sana. Sisi vyama vyote tumejiandaa kuwashughulikia watakaotajwa. Watajeni au nyamazeni kabisa milele.Tumechoka unafiki.
Nawe Mbatia,kama unawajua wataje. Kufichafcha kunatuharibia mambo mengi sana. Sisi vyama vyote tumejiandaa kuwashughulikia watakaotajwa. Watajeni au nyamazeni kabisa milele.Tumechoka unafiki.