CHEMPO
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 368
- 59
Hakuna la kubisha kuwa wale vijana walipewa chochote ili kufanya fujo.haingii akilini akalte fujo kwenye mkutano wa watu bila kuhofia afya yako,,nakumbuka kwenye uchaguzi wa arumeru yeye alisababisha kijana mmoja wa ccm kidogo apoteze uhahi kwenye chumba cha kujumlishia kura,hii ni baada ya kushuhulikiwa na lema na heche,mpaka mkuu wa kituo cha polisi usa akawambia mmeua.
Nawashauri vijana wa ccm acheni na fedha za mwinulu zitawaua someni nyakati
Nawashauri vijana wa ccm acheni na fedha za mwinulu zitawaua someni nyakati