dindaiphilly
Member
- May 27, 2012
- 6
- 0
"Wahenga walisema mfa maji hakosi kutapatapa"na ukweli uko hivi "huwezi kushindana na wakati,wakati ukifika umefika tu huwezi kuugeuza wala kuubadilisha" Biblia inasema.
Kila jambo chini ya jua liko kwa wakati.NI VEMA CCM IKAJUA KWAMBA WAKATI WAKE WA KUENDELEA KUKANDAMIZA NA KUDANGANYA WATANZANIA UMEFIKA KIKOMO.Ukweli unajidhihirisha jinsi mambo yanavyoendelea kwa sasa.
Utashangaa chochote wanaCCM wanachokifanya kwa kukiangamiza chama chao.
Kila jambo chini ya jua liko kwa wakati.NI VEMA CCM IKAJUA KWAMBA WAKATI WAKE WA KUENDELEA KUKANDAMIZA NA KUDANGANYA WATANZANIA UMEFIKA KIKOMO.Ukweli unajidhihirisha jinsi mambo yanavyoendelea kwa sasa.
Utashangaa chochote wanaCCM wanachokifanya kwa kukiangamiza chama chao.