VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Rais Jakaya M Kikwete amekuwa na hulka isiyovutia.
Linapotokea tukio ambalo yeye kama Rais anatazamiwa kuonyesha njia yeye hutingwa na safari tena za nje ya nchi.
Matukio ninayoyakumbuka kuwa Rais alikuwa Tanzania wakati yanatokea lakini akasafiri ni yale ya mlipuko wa mabomu ya Gongolamboto na la juma lililopita la mauaji ya Polisi Songea.
Kwanini Rais huyakimbia matukio kama haya na badala yake hutingwa na matukio ya kawaida kama uzinduzi wa benki na hoteli?
Linapotokea tukio ambalo yeye kama Rais anatazamiwa kuonyesha njia yeye hutingwa na safari tena za nje ya nchi.
Matukio ninayoyakumbuka kuwa Rais alikuwa Tanzania wakati yanatokea lakini akasafiri ni yale ya mlipuko wa mabomu ya Gongolamboto na la juma lililopita la mauaji ya Polisi Songea.
Kwanini Rais huyakimbia matukio kama haya na badala yake hutingwa na matukio ya kawaida kama uzinduzi wa benki na hoteli?