Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,062
- 79,089
Tuwe wakweli ukaribu wa Kikwete na Malima katika ila dhana ya "mwenzetu" ni kigezo tosha cha kuweza kung'amua Ngeleja au Malima hawawezi kuondolewa na hata huyo Jairo ataondolewa kwa mbinde sanaa....! hiyo ndiyo Tanzania yetu