Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,881
- 2,372
Miaka mitano haku - achieve na ndiyo sababu ya kutumia nguvu kuchakachua ili aonekane alifanya vizuri na bado haikusaidia, ukichukulia mfano wa Mkapa 1995 alipata 61+% na 2000 alipata 71%, utaona kwamba Mkapa alifanya vizuri sana kipindi chake kuliko JK.
Hakukuwa na sababu ya kufurahia matokea yanayorudi hatua 21 nyuma badala ya kupiga hatua angalau moja mbele
Hakukuwa na sababu ya kufurahia matokea yanayorudi hatua 21 nyuma badala ya kupiga hatua angalau moja mbele