Wanajamii
Tatizo hapa jina la hii thread na haya malumbano yaliyo hapa jamvini ni vitu viwili tofauti.wengi wanaonekana wako more interested na malumbano than the actual thread.
Ni wazi kuwa JK alimteua EL pasi na kujua histtoria ya ufisadi wake.Alimteua just kulipa fadhila ama aliamua tu kumpa second chance G-d knows.Lakini hakuchaguliwa kwa kuwa alikuwa more qualified.Tusidanganyike hata kidogo kwamba Rais anamuogopa Lowassa ama Lowasa ana sauti kumpita Rais,This is not true.Katika serikali yetu ya Tanzania kiongozi ambaye ana nidhamu ya kiuongozi sijaona zaidi ya Makamu wa Rais Shein.Wengine wote kila kukicha wanateleza.Kinachowaweka madarakani ni blessing ya Rais.
Sasa ndugu yangu MWANAKIJIJI Rais huyu atawatetea wangapi ikiwa kila kukicha awe anatizama amtetee yupi maana kila siku viongozi wanakuja na mpya.Loe waziri mkuu anataka kuuwa wanaotuhumiwa kuuwa maalbino,kesho ainuke kumtetea Masha na uzembe wake,keshokutwa kuna mkuu wa wilaya anacharaza watu viboko.I think Mr.President was right kwa lile la Lowasa.
Mwisho bwana WILIAM nimeipenda hii staili ya KATA ISHU. THINK TWICE.
SAHIBA.
Tatizo hapa jina la hii thread na haya malumbano yaliyo hapa jamvini ni vitu viwili tofauti.wengi wanaonekana wako more interested na malumbano than the actual thread.
Ni wazi kuwa JK alimteua EL pasi na kujua histtoria ya ufisadi wake.Alimteua just kulipa fadhila ama aliamua tu kumpa second chance G-d knows.Lakini hakuchaguliwa kwa kuwa alikuwa more qualified.Tusidanganyike hata kidogo kwamba Rais anamuogopa Lowassa ama Lowasa ana sauti kumpita Rais,This is not true.Katika serikali yetu ya Tanzania kiongozi ambaye ana nidhamu ya kiuongozi sijaona zaidi ya Makamu wa Rais Shein.Wengine wote kila kukicha wanateleza.Kinachowaweka madarakani ni blessing ya Rais.
Sasa ndugu yangu MWANAKIJIJI Rais huyu atawatetea wangapi ikiwa kila kukicha awe anatizama amtetee yupi maana kila siku viongozi wanakuja na mpya.Loe waziri mkuu anataka kuuwa wanaotuhumiwa kuuwa maalbino,kesho ainuke kumtetea Masha na uzembe wake,keshokutwa kuna mkuu wa wilaya anacharaza watu viboko.I think Mr.President was right kwa lile la Lowasa.
Mwisho bwana WILIAM nimeipenda hii staili ya KATA ISHU. THINK TWICE.
SAHIBA.