ndio maana Nyerere alibadili uteuzi wa, wa kiongozi moja wa juu, baada ya muhusika kumueleza Mke wake, ambaye nae alianza kusherekea kabla ya Taarifa rasimu kutolewa- Rais anatakiwa kusimamia sheria na maadili, na pia kusimama on principles na kuheshimu maamuzi ya vyombo muhimu vya taifa kama bunge, waziri mkuu wa jamhuri yetu hupendekezwa na rais, na hatimaye hupitishwa na bunge kwa hiyo huwajibika zaidi kwa bunge. Bunge liliompitisha likimuona hafai rais hawezi kuingilia kati.
- Kwenye kuheshimu maamuzi ya bunge, rais wa sasa amekuwa very consistent, na ni lazima ieleweke kuwa sometimes rais knows best on what is national interest na what is not ndio maana tukamchagua kuwa rais wetu.
- Katika mkutano mmoja na waandishi wa habari pale Diamond wakati wa wahujumu uchumi, Mwalimu aliulizwa na Eda Sanga, kama kwa nini anawalinda viongozi kama Sir George Kahama, Mwalimu alijibu kuwa haendeshi taifa kwa kusikiliza maneno ya mtaani.
- Kwa kifupi rais wa jamhuri hawezi ku-respond on kila neno linaloanzishwa mtaani bila ya facts au ushahidi wa kutosha.
William.