jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
- Thread starter
- #21
Na ni nini hasa Kikwete alichowapa Wamarekani kuwafanya wanyamaze?
Hiyo mikataba yote na makubaliamo ipitiwe!
MAAANA MAPOKEZI ALIYOPEWA BUSH YALIONYESHA WALAKINI MKUBWA SANA!
BENDERA ZILIPANDISHWA KILA MAHALI NA KWA WAMAREKANI HIYO NI ISHARA YA KUTOKA KWA KIKWETE KUSEMA SASA TUNAWAACHIA NCHI HII NA NI KAMA SIGN YA KUSSURENDER ILI ASIULIZWE KUHUSU UHARAMIA HUU DHIDI YA WANANCHI!
Hiyo inaweza ikawa ni ishara kutoka kwa Kikwete kuwa ndio tuna makosa na sasa tutawapa chochote mnachotaka ili msiwasikilize wapinzani!?
Ni wazi kabisa yale mapokezi ya Bush yalijawa na unafiki ili asiulize...Kwasababu hata mkataba wenyewe waliousaini ambao sisi wananchi tunaujua ni wa pesa za kupambana na rushwa na kuhakikisha kuwa haki inatendeka kwa wahusika wote kuwekwa ndani na kuchukuliwa hatua stahili za kisheria.
Hiyo mikataba yote na makubaliamo ipitiwe!
MAAANA MAPOKEZI ALIYOPEWA BUSH YALIONYESHA WALAKINI MKUBWA SANA!
BENDERA ZILIPANDISHWA KILA MAHALI NA KWA WAMAREKANI HIYO NI ISHARA YA KUTOKA KWA KIKWETE KUSEMA SASA TUNAWAACHIA NCHI HII NA NI KAMA SIGN YA KUSSURENDER ILI ASIULIZWE KUHUSU UHARAMIA HUU DHIDI YA WANANCHI!
Hiyo inaweza ikawa ni ishara kutoka kwa Kikwete kuwa ndio tuna makosa na sasa tutawapa chochote mnachotaka ili msiwasikilize wapinzani!?
Ni wazi kabisa yale mapokezi ya Bush yalijawa na unafiki ili asiulize...Kwasababu hata mkataba wenyewe waliousaini ambao sisi wananchi tunaujua ni wa pesa za kupambana na rushwa na kuhakikisha kuwa haki inatendeka kwa wahusika wote kuwekwa ndani na kuchukuliwa hatua stahili za kisheria.