Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,052
- 24,442
Kesi nyingi za kupingwa kwa matokeo ya uchaguzi husimamiwa na mwanasheria wa Chadema Tundu Lisu licha ya kuwa nyingi hushindwa Mfano kesi za Wenje, Kafulila, Ester Bulaya.
Kesi nyingi za kupingwa kwa matokeo ya uchaguzi husimamiwa na mwanasheria wa Chadema Tundu Lisu licha ya kuwa nyingi hushindwa Mfano kesi za Wenje, Kafulila, Ester Bulaya.
Ili uijuwe ukawa unatakiwa uwe kama Lupumba?Kafulila nae ni wa chama hicho?