Kwa sababu ccm wanatumia hila nyingiKesi nyingi za kupingwa kwa matokeo ya uchaguzi husimamiwa na mwanasheria wa Chadema Tundu Lisu licha ya kuwa nyingi hushindwa Mfano kesi za Wenje, Kafulila, Ester Bulaya.
kweli kabisa yeye na mwenzake Kibatala wanarefusha CV hata wakipata dhamana wanadai wameshinda kesi na kujaza picha facebookInawezekana hizo kesi na mradi wake.
wapo John Mallya, Peter Kibatala na Tundu Lisu. Ndo wenye MRADI huo sasa ukihoji hawa bavicha hawataki kusikia kabisa!kweli kabisa yeye na mwenzake Kibatala wanarefusha CV hata wakipata dhamana wanadai wameshinda kesi na kujaza picha facebook
Kafulila nae ni wa chama hicho?
Kesi nyingi za kupingwa kwa matokeo ya uchaguzi husimamiwa na mwanasheria wa Chadema Tundu Lisu licha ya kuwa nyingi hushindwa Mfano kesi za Wenje, Kafulila, Ester Bulaya.
Ester Bulaya alishindwa nini na lini..?Kesi nyingi za kupingwa kwa matokeo ya uchaguzi husimamiwa na mwanasheria wa Chadema Tundu Lisu licha ya kuwa nyingi hushindwa Mfano kesi za Wenje, Kafulila, Ester Bulaya.
Nimesoma eti baadhi ya wtz wanaugua kichaa, vipi mkuu hii habari ni ya kweri??Kesi nyingi za kupingwa kwa matokeo ya uchaguzi husimamiwa na mwanasheria wa Chadema Tundu Lisu licha ya kuwa nyingi hushindwa Mfano kesi za Wenje, Kafulila, Ester Bulaya.
Hayo majina serikali ikiyasikia wanaweza dondoka kwa presha..wapo John Mallya, Peter Kibatala na Tundu Lisu. Ndo wenye MRADI huo sasa ukihoji hawa bavicha hawataki kusikia kabisa!