Kwanini katika zoezi hili la vitambulisho vya taifa wapime na dna?

NDAMANDOO

JF-Expert Member
May 10, 2012
253
124
Habari wana JF,

Serikali inajiandaa kutoa vitambulisho vya taifa kwa waTZ wote. Naiunga mkono kwa uamzi huo mzuri.

Lakini katika vipengele vyote sijaona sehem hata moja ambayo itaweza kumtambua mtu ambaye amepata ajari (kama ile ya Mv BUKOBA, Mv SPICE na hii ya juzi Mv STARGIC) na kupoteza vitu vyake vyote. Kwa mawazo yangu ningipenda katika zoezi hili zuri basi waongezi vipimo vya DNA kwa watanzania wote na kuwekwa katika Data base ya vitambulisho ili tu mtu akiokotwa naweze kujulikana particular zake zote kuanzia jina, ndugu zake na mambo mengine ambayo yatasaidia.

Pia itasaidia katika kuwanasa majambazi sugu ambayo yatajeruhiwa na police na kuchukua sampli yake.

Ni mawazo yangu tu

Naleta kwenu wana JF.
 
Habari wanajv

Pia itasaidia katika kuwanasa majambazi sugu ambayo yatajeruhiwa na police na kuchukua sampli yake.

Ni mawazo yangu tu

Naleta kwenu waJV

Hapo kwa majambazi kuna watu wanaogopa wasije ingia kwenye mtego waliotega wao wenyewe
 
Popote duniani hakuna nchi inayoweka kumbukumbu ya dna ya mtu bila sababu. Unless una criminal record ama ulishawahi kuwa suspected na kupimwa, huhitaji kuwekewa hiyo. Inapotokea ajali, ndugu wa karibu atapimwa for matching purposes. DNA is an expensive processes and very unnecessary for that purpose.

Badala ya kuwekeza kwenye DNA tukinuia ku-match wakati wa ajali, heri tuwekeze kwenye kuzuia ajali, waonaje?
 
Popote duniani hakuna nchi inayoweka kumbukumbu ya dna ya mtu bila sababu. Unless una criminal record ama ulishawahi kuwa suspected na kupimwa, huhitaji kuwekewa hiyo. Inapotokea ajali, ndugu wa karibu atapimwa for matching purposes. DNA is an expensive processes and very unnecessary for that purpose.

Badala ya kuwekeza kwenye DNA tukinuia ku-match wakati wa ajali, heri tuwekeze kwenye kuzuia ajali, waonaje?

Nimekupata mkuu! lakini huoni kama tumeshindwa kuzuia ajali? wazazi warokofi wanaotelekeza watoto wao mitaani je? ujambazi je huoni kama hii ni njia rahisi ya kutambua ujambazi na matukio mengine ya kihari kama yale ya kutekwa kwa WaTZ.

Kama hofu ni Gharama ni kiasi gani ya pesa inatumika katika uchunguzi wa matukio ya kiharifu? mfano tume zinazoundwa kila kukicha kufutilia matukio mbalimbali huoni kama tunaweza kuokoa pesa katika hilo?
 
Habari wanajv
Serikali inajiandaa kutoa vitambulisho vya taifa kwa waTZ wote. Naiunga mkono kwa uamzi huo mzuri.
Lakini katika vipengele vyote sijaona sehem hata moja ambayo itaweza kumtambua mtu ambaye amepata ajari (kama ile ya Mv BUKOBA, Mv SPICE na hii ya juzi Mv STARGIC) na kupoteza vitu vyake vyote. Kwa mawazo yangu ningipenda katika zoezi hili zuri basi waongezi vipimo vya DNA kwa watanzania wote na kuwekwa katika Data base ya vitambulisho ili tu mtu akiokotwa naweze kujulikana particular zake zote kuanzia jina, ndugu zake na mambo mengine ambayo yatasaidia. Pia itasaidia katika kuwanasa majambazi sugu ambayo yatajeruhiwa na police na kuchukua sampli yake.

Ni mawazo yangu tu

Naleta kwenu waJV


ni wazo zuri, lakini uhakikishe hujawahi kuwa sperm donar kwa majirani zako..................
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom