nahisi inaweza kuwa hvyo na hasa tukiangalia diplomatic relations na watu wa nchi hizo waliotiwa mikononi mwa sheria,pia kutokana na hali kama hyo inaweza kuathiri fumo mzima wa kisheria kwenye ushughulikiaji wa kesi hiyo,thus why watuumiwa hao wanaraise allegations ya kutokuwa na imani na msimamizi wa kesi hiyo haliyejitoa na pia inanipa doubt mtu atakayechaguliwa kusimamia kesi hyo anaweza kuwa bias na kutosimamia vizuri kesi hyo kutokana na interest anayoweza kuwa nayo kwenye hiyo kesi,na hivyo kuliminya taifa kihaki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.