KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Wakuu,
Hivi nimejaribu kuchunguza miaka imepita nasijapata jibu naleta kwenu mnijuze kwa nini,
Kwanini unapokaribia mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan vitu upanda bei??
(a)Mnyama mauzo yake upungua sana(ChairFire)
(b)Nyumba zakulala wageni hukuta vibao vimeandikwa vyumba vipo
(c)Baa mauzo upungua sana
Na wanapofungua Hukuta mauzo yanakuwa juu kwakila sekita niliyoitaja, a,b,c,??
Nni hasa siri ya urembo??
Nimatumaini yangu nanyi nimashahidi kwahilo.
Hivi nimejaribu kuchunguza miaka imepita nasijapata jibu naleta kwenu mnijuze kwa nini,
Kwanini unapokaribia mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan vitu upanda bei??
(a)Mnyama mauzo yake upungua sana(ChairFire)
(b)Nyumba zakulala wageni hukuta vibao vimeandikwa vyumba vipo
(c)Baa mauzo upungua sana
Na wanapofungua Hukuta mauzo yanakuwa juu kwakila sekita niliyoitaja, a,b,c,??
Nni hasa siri ya urembo??
Nimatumaini yangu nanyi nimashahidi kwahilo.