nimejaribu kufanya utafiti usio "rasmi" na kubaini kuwa inapotokea mwanaume aliyeoa kumtongoza mtu mwingine ambaye tayari ameshaolewa au bado hajaolewa inakuwa rahisi kupita maelezo kukubaliwa huku akijua wazi kuwa wewe tayari umushaoa au umeshaolewa. nina mifano dhahili ambayo mimi mwenyewe imeshatokea watu ambao kabla sijaoa walikuwa mbali nami na hata nilipojaribu kuweka mahusiano nao walinikimbia sasa nimeoa yaani kama maji yanayokimbia mlima vile pia kuna marafiki zangu wanaface the same problem. na wanadhiliki kusema wapo radhi kuwa vidumu for the rest of their life kwa sababu wahakujua potentiality yako. hii imekaaje mawazo yenu wazee wa kudadafua mambo[I][/I]