Kwanini ili chadema ishinde lazima ushindi uambatane na vurugu

GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1694.jpg
First Name: Livingstone
Middle Name:Joseph
Last Name:Lusinde
Member Type:Constituency Member
Constituent:Mtera
Political Party:CCM
Office Location:Box 50, Dodoma
Office Phone: +255 755 453327/+255 785 679927
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
Member Status:
Date of Birth
EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
Mbigili Primary SchoolPrimary Education19801987PRIMARY
CCM College IhemiCertificate20072008CERTIFICATE

CERTIFICATIONS
Certification Name or TypeCertification No. IssuedExpires
No items on list

EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From DateTo Date
The Parliament of TanzaniaMember - Mtera Constituency20102015

POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/LocationPositionFromTo
Chama Cha Mapinduzi, CCMSecretary - Tarime District20062010
Chama Cha Mapinduzi, CCMAssistant Secretary/Accountant20062007
CHADEMAMember - National Executive Board1995
Civic United Front, CUFSecretary - Kawe Constituency19921995
Chama Cha Mapinduzi, CCMSecretary
Hii njemba kumbe haina shule kabisa ndo maana ana mdomo mchafu kama mwanamke wa uswazi. Subiri 2015 mhishimiwa Lusinde. Lazima tukuwekee video yako kwanza wakati wa kampeni. Utaipata mpaka BBC umetukana mbele ya watoto. Jifunze adabu!!
 
Inawezekana mleta mada hujaishi hapa nyumbani kwa miaka mingi sana, kama unaishi bongo basi umeamua kufunga macho usione kinachoendelea niliweka jana kwenye facebook yangu kabla ya matokeo kuwa ukisikia yanapigwa mabomu ya machozi basi ujuwe wapinzani wameshinda hata kama matokeo hayajatangazwa. Kwa nini?? Kwa sababu wasimamizi wa uchaguzi hupata kigugumizi cha kutangaza due to remote control ya CCM kwenye chaguzi zote na hapo wapiga kura huleta shiniko la nguvu ya uma kudai haki yao bila hiyo pressure matokeo yatatangazwa ndivyo sivyo, so ni vema uwashauri wanaoamuru Askari kupiga mabomu wanakwamisha wasimamizi kusema ukweli halisi kubadililka na kukubali kuwa this is a mult-party country na lazima wapinzani wapewe haki zao pale wanapochaguliwa
hujamuelewa mleta mada. soma upya kwa makini.
 
kuna mambo ya kujadili humu jukwaani.
Huyo mnayemjadili alishajipoteza siku nyingi,unapokuwa na mbunge ambaye mila za bar anataka kuzileta katika uwanja wa siasa ni janga.

Matusi aliyokuwa akiyatuma huku akirekodiwa na vyombo mbalimbali vya habari ni aibu, tena nashangaa kamati ya maadili ya wabunge eti haijatoa tamko kuhusiana na lugha iyo chafu ya mbunge huyu it is a shame kwa bunge,kwa familia,kwa chama chake even kwa kanisa analosali.

Matusi aliyotukana hayavumiliki.
 
Bwana Iso to make it simple jaribu kuangalia majimbo ambayo CDM walishinda uchaguzi wa 2010 mfano jimbo la mwanza mjini na iringa mjini na Arusha mjini.
Ni baada ya CDM kukomaa ndo matokeo yakatangazwa kuwa CDM wameshinda.Tena kuna mahara watu walitishia kuchoma kituo cha polisi ndipo matokeo yakatolewa.
Akina Halima na Mnyika walikesha kulinda kura zao zisije chakachuliwa for some days.
 
Nimekuwa nikifuatilia chaguzi mbali mbali hasa za jana,inavyoonekana kila ambapo CDM wameshinda ni lazima utasikia kulikuwa na fujo na kuna watu wamekamatwa na wako mahabusu.Mifano hai ni Highness yuko muhimbili,Kule kiwila watu zaidi ya kumi wako ndani,arumeru pia jana usiku kulikuwa na fujo am sure kuna watu wako ndani. Inavyoonekana ni lazima vyama vya upinzani watumie FUJO ili haki ipatikane why? To me that’s high level of immaturity kwa chama tawala with more than 20 years of multipartism! What a shame ulimwengu wa sasa bado mwaendekeza mabavu hata katika mambo ambayo hayaitaji nguvu.Ifike wakati kama wananchi hawaamini system zenu za sasa its high time tuanze tumia njia za kisasa za upigaji kura kama Kenya wameweza kuadopt state of the art tech kwenye kupiga kura why not us

NJOWEPO: Heading yako ingesomeka hivi? KWANINI KILA MAHALA AMBAPO CHAMA TAWALA KIMESHINDWA LAZIMA VURUGU ZITOKEE?! Case Study kwenye recent by election ni Kirumba MZA, Lizaboni (Songea), Kiwira (Mbeya). CCM chama tawala haina tofauti na vyama tawala vingine barani Africa. KANU, ZANU PF, kile Cha Gadaffi, Kile Cha Laurent (Ivory Coast), Mubaraka (Egypt), kile cha Chiluba na Kaunda UMD & UNIP respectively etc

Hivi vyama ni TAWALA kweli na viongozi wake ni WATAWALA kweli. Hivyo hawaani katika KUSHINDWA. watajeruhi, wataua, watafanya kila hira kubaki madarakani. Lakini one thing ukiona chama tawala kimefikia hatua hiyo kama CCM ilivyo sasa UJUE kiko katika hatua za MWISHO za KUFA. Historia inatufundisha hivyo and CCM is no exception.

CCM iko kwenye PROCESS ya KUFA hivyo lazima ipitie katika hatua hizo kama vyama vingine TAWALA vilivyokwisha "tangulia mbele za haki"!
 
Back
Top Bottom