Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,148
- Thread starter
- #61
Da Prety, kama unataka kuolewa, jiangalie kwenye maeneo haya:
1. Je, una vi nyodo nyodo visivyo na msingi?
2. Kampani yako unayo 'hang out' nayo ni ya aina gani? Masista duu? Mashangingi? Wasela?
3. Unavaaje? Skin tyt/ jeans 24/7? Miniskirt, pedo, boobs nje nje?
4. Lifestyle yako kwa ujumla? Uko ki 'matawi' sana? Mipete ya dhahabu, cheni kubwa, vikuku, hereni 4 kila sikio, bangili za gold nk?
5. Unapendelea kutembelea maeneo gani? Hoteli kubwa kubwa? Club za gharama?
6. Unapenda kujiremba kupita kiasi?
7. Hukumbuki mara ya mwisho kuonekana kanisani/mskitini?
8. Unapenda kuwa na relaionships na 'masharobaro'?
9. 'Uzungu' mwingi?
10. Nakadhalika?
Wanaume wa sku izi wajanja. Hawataki kuoa mtu mwenye unnecessary complications hata awe mzuri kiasi gani! Wanataka mtu presentable ambaye wanaweza kumtambulisha kwa marafiki, ndugu, wazazi n.k
Ukikuta una mojawapo kati ya kasoro hizo jirekebishe haraka. Hapo utajitoa kwenye kundi la 'mademu' na kuingia kwenye 'wife material'
Kuolewa ni heshima dada, japo si lazima but inakupa a deeper purpose in life. Good luck
Maswali yako ni mazuri sana na yanajenga.
Ninaishi maisha ya kawaida sana kama binti mwenye Kumjua Mungu, nina kabila na nina wazazi pia.
Suala sio kutaka kuolewa, kikubwa ni hili swali "kwanini huolewi?" ndio linanikwaza.