Kwanini hospitali za wilayani hazina Migomo?

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
1,657
2,252
Mawilayani hawa ndio wagawana mafungu yote ya afya. Tenda za kuzoa taka, kusimamia chanjo, kuuza dawa za selikalini na karibu wote wanamaduka ya madawa na watoa vibari vya maduka batili. Pia ndio watoamimba laki kila mimba.

Wilaya zina madaktari kati ya watano hadi kumi wakiifanyia ubadhilifu bajeti ya afya ya wilaya na dili zao.

1200000 ambayo ni sawa na tsh 800000hivi cash zinawatosha. Ila wale wa muhimbili, bugando, kcmc, na wamikoani ambao hawazipati hizo dili wafikishieni mil 2.5 kushika damu, maini na figo za watu si mchezo.
Kupima haja na maiti tena kwa msomi na kuangalia maiti.

Acha tu wagome
 
Mawilayani hawa ndio wagawana mafungu yote ya afya. Tenda za kuzoa taka, kusimamia chanjo, kuuza dawa za selikalini na karibu wote wanamaduka ya madawa na watoa vibari vya maduka batili. Pia ndio watoamimba laki kila mimba.

Wilaya zina madaktari kati ya watano hadi kumi wakiifanyia ubadhilifu bajeti ya afya ya wilaya na dili zao.

1200000 ambayo ni sawa na tsh 800000hivi cash zinawatosha. Ila wale wa muhimbili, bugando, kcmc, na wamikoani ambao hawazipati hizo dili wafikishieni mil 2.5 kushika damu, maini na figo za watu si mchezo.
Kupima haja na maiti tena kwa msomi na kuangalia maiti.

Acha tu wagome



Pomoja na uchambuzi wako wote huo, ujue huko hakuna madaktari (MD). Ukija mgomo wa wauguzi wa rank zote ndiyo utahakikisha haya ninayokwambia.
 
Na hakiwepo DR wilayani moja kw amoja nakuwa ndiye Mganga mkuu wa Hospital

Wilayani unakuta wamejaa ma AMO(Assistant Medical Officer), sampuli za kina Aisha Kigoda au Antony Mbasa.
Hawa ndo vingunge kule, wameridhika na CCD, wanangojea mafao yao ya kustaafu.
Unakuta kuna MD wawili, mmoja DMO, mwingne MO I/C.
Wote ni watawala, hawawezi goma.
 
Pia wana vihela vya semina kibao, maana pesa za Basket fund ndo zinamwagwa huko, kifupi hawategemei mishahara, wanaishi kwa semina na madili mengne.
 
Mawilayani hawa ndio wagawana mafungu yote ya afya. Tenda za kuzoa taka, kusimamia chanjo, kuuza dawa za selikalini na karibu wote wanamaduka ya madawa na watoa vibari vya maduka batili. Pia ndio watoamimba laki kila mimba.

Wilaya zina madaktari kati ya watano hadi kumi wakiifanyia ubadhilifu bajeti ya afya ya wilaya na dili zao.

1200000 ambayo ni sawa na tsh 800000hivi cash zinawatosha. Ila wale wa muhimbili, bugando, kcmc, na wamikoani ambao hawazipati hizo dili wafikishieni mil 2.5 kushika damu, maini na figo za watu si mchezo.
Kupima haja na maiti tena kwa msomi na kuangalia maiti.

Acha tu wagome
Wewe ni KIPOFU KABISA!Madaktari wa wilaya WanaAKILI na Wanajua walichotumwa na watanzania!Wamevaa Uzalendo wana Utu!Waliogoma hawana Utu bali ni wanyama!
Aliekuambua madaktari ndio wenye kazi za kutoa tenda mawilayani ni nani!Mkweche nipo kwenye gamu la afya kitambo!Madaktari wa Mjini wana Maduka ya dawa,Cliniki na sehemu kibao za kufanya part time!na wakiwa hospitali za serikali wanazuga na wengine wanakueleza mkutene kule kwa Tatizo lako!
Madaktari wa wilayani hawana kipato cha pembeni kama wale wa MJINI
 
Jana nilikuwa naongea na DMO wilaya moja wapo ya mkoa wa Tabora yeye akasema kwanza MD yuko pekeyake na kapewa uongozi anavikao, na mafungu anayo nafasi ya kuiba na kuchakachua awezavyo. lakini pia yeye sasa ni mtawala hafanyi kazi nyingi za utabibu hivyo hata pesa za vikao tu zinamtosha kuishi. Japo yeye alisema huku wako watu masikini sana hivyo anawaonea huruma Lakini kiukweli tunahitaji viongozi ambao hawafichi nakuhadaa umma eti wao wako safi ila wengine ndio tatizo
Wewe ni KIPOFU KABISA!Madaktari wa wilaya WanaAKILI na Wanajua walichotumwa na watanzania!Wamevaa Uzalendo wana Utu!Waliogoma hawana Utu bali ni wanyama!
Aliekuambua madaktari ndio wenye kazi za kutoa tenda mawilayani ni nani!Mkweche nipo kwenye gamu la afya kitambo!Madaktari wa Mjini wana Maduka ya dawa,Cliniki na sehemu kibao za kufanya part time!na wakiwa hospitali za serikali wanazuga na wengine wanakueleza mkutene kule kwa Tatizo lako!
Madaktari wa wilayani hawana kipato cha pembeni kama wale wa MJINI
 
Mawilayani hawa ndio wagawana mafungu yote ya afya. Tenda za kuzoa taka, kusimamia chanjo, kuuza dawa za selikalini na karibu wote wanamaduka ya madawa na watoa vibari vya maduka batili. Pia ndio watoamimba laki kila mimba.

Wilaya zina madaktari kati ya watano hadi kumi wakiifanyia ubadhilifu bajeti ya afya ya wilaya na dili zao.

1200000 ambayo ni sawa na tsh 800000hivi cash zinawatosha. Ila wale wa muhimbili, bugando, kcmc, na wamikoani ambao hawazipati hizo dili wafikishieni mil 2.5 kushika damu, maini na figo za watu si mchezo.
Kupima haja na maiti tena kwa msomi na kuangalia maiti.

Acha tu wagome

Unazungumzia hospitali zipi? wilaya ngapi zina hospitali?
Wilaya nyingi hata Dispensary hawana.

Taarifa za migomo vijijini hawazijui labda makao ya mikoa tu.

Nchi hii inaendeshwa kikatili sana laiti watu wangeujua ukweli ,kila mmoja angekuwa na sababu ya kuipigania nchi hii.
 
Unazungumzia hospitali zipi? wilaya ngapi zina hospitali?
Wilaya nyingi hata Dispensary hawana.

Taarifa za migomo vijijini hawazijui labda makao ya mikoa tu.

Nchi hii inaendeshwa kikatili sana laiti watu wangeujua ukweli ,kila mmoja angekuwa na sababu ya kuipigania nchi hii.

Wilaya gani ambayo haina hata Dispensary.
 
Unazungumzia hospitali zipi? wilaya ngapi zina hospitali?
Wilaya nyingi hata Dispensary hawana.

Taarifa za migomo vijijini hawazijui labda makao ya mikoa tu.

Nchi hii inaendeshwa kikatili sana laiti watu wangeujua ukweli ,kila mmoja angekuwa na sababu ya kuipigania nchi hii.

Tutajie 20. Au kama nyingi inaanza na mbili, tutajie hizo mbili.
 
Wilaya ya Manyoni,inategemea hospitali ya Mission St Gasper,wilaya ya Iramba hususan jimbo la iramba Mashariki wamechangishwa pesa za Dispensary kwa miaka kumi hata msingi hakuna.

Najua nachokizungumza niko huku na nimeizunguka Tanzania hii.

Tusiongee nadharia.
 
Wilaya ya Manyoni,inategemea hospitali ya Mission St Gasper,wilaya ya Iramba hususan jimbo la iramba Mashariki wamechangishwa pesa za Dispensary kwa miaka kumi hata msingi hakuna.

Najua nachokizungumza niko huku na nimeizunguka Tanzania hii.

Tusiongee nadharia.

Asante kwa kutujuza,kweli ni nyingi bado zinasuasua
 
Au wao ndio wenyewe mabosi. Nasikia ata wilayani madaktari wanajenga nyumba ata kila mwaka kama wakitaka
 
Wilayani HAKUNA MDs, 99% ni AMO na CO. mfano mzuri ni hospitali ya wilaya kilosa MD ni wawili; DMO na MD mmoja anayefanya wd ya wazazi. medical officer incharge ni AMO. Ukiwambia swala la mgomo, wanakwambi wao hawawezi kugoma. lakini wao ndo wakwanza kuulizi kila siku update kama mshahara umepandishwa. Hili tatizo ndo inaikumba hospitali za mkoa wa DAR, ukienda AMANA maAMO ni wengi zaidi ya maMD, the same apply to TMK and Mwananyamala. AMO ataenda wapi zaidi ya kufanyakazi hapa Tz, ndo mana lazima wailambe serikali mguu. Kwao kutoa huduma katika mazingira magumu sitatizo, kwani macho hayawezi kuona kituambacho uijui, maMD ni ndo waalimu wa hawa jamaa. Kwenye syllabus hakuna mambo ya kisera so haya mambo tunayodai hawayajui
 
Back
Top Bottom