William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Mawilayani hawa ndio wagawana mafungu yote ya afya. Tenda za kuzoa taka, kusimamia chanjo, kuuza dawa za selikalini na karibu wote wanamaduka ya madawa na watoa vibari vya maduka batili. Pia ndio watoamimba laki kila mimba.
Wilaya zina madaktari kati ya watano hadi kumi wakiifanyia ubadhilifu bajeti ya afya ya wilaya na dili zao.
1200000 ambayo ni sawa na tsh 800000hivi cash zinawatosha. Ila wale wa muhimbili, bugando, kcmc, na wamikoani ambao hawazipati hizo dili wafikishieni mil 2.5 kushika damu, maini na figo za watu si mchezo.
Kupima haja na maiti tena kwa msomi na kuangalia maiti.
Acha tu wagome
Wilaya zina madaktari kati ya watano hadi kumi wakiifanyia ubadhilifu bajeti ya afya ya wilaya na dili zao.
1200000 ambayo ni sawa na tsh 800000hivi cash zinawatosha. Ila wale wa muhimbili, bugando, kcmc, na wamikoani ambao hawazipati hizo dili wafikishieni mil 2.5 kushika damu, maini na figo za watu si mchezo.
Kupima haja na maiti tena kwa msomi na kuangalia maiti.
Acha tu wagome