Kwanini historia ya Zanzibar ya kweli haisomeshwi?

Mzee Mohamed Said, Kuna jambo moja ulilianza lakini tukaliachia njiani ambalo ni muhimu na ni bora wasomaji wakaelewa nalo ni muonekano wa mwarabu/waarabu dhidi ya wasio waarabu haswa waafrika ili kutowachanganya wasomaji. Waarabu kiasilia yao ni watu wenye ngozi nyeusi kama waafrika. Muonekano wao wa kiasilia upo jirani sana na wa kiafrika ukiondoa ujazo wa ndevu kwa wanaume na machache sana kama hayo. Ndio maana wakazi wote wa ulaya walikuwa wanawaita waarabu MOORS-WEUSI. Waarabu walioikalia Hispania ya sasa walikuwa ni wenye muonekano mweusi na hawa walikuwa waarabu halisia.

Lakini hebu tuwaangalie waarabu wakureishi hususan tuiangalie familia ya Mtume (saw) imeelezwaje;

A True Description of the Prophet Mohamed's Family (SAWS)


The term Sharif (nobleman) or Sayyid is used to describe a descendant of the Prophet Mohamed (SAWS) through his daughter Fatima (RAA). They are descendants of Al Hasan and Al Husein- the two sons of Ali ibn Abi Talib (RAA) and Fatima the daughter of the Prophet Mohamed (SAWS). The Prophet Mohamed (SAWS) and Ali ibn Abi Talib (RAA) are from the Bani Hashim branch of the tribe of Quraish. They are the noblest of the Arabs. The Prophet Mohamed (SAWS) and Ali ibn Abi Talib (RAA) were first cousins. Ali’s father, Abi Talib, was the brother of the Prophet’s (SAWS) father. Once it has been established that the Bani Hashim were a black-skinned people, there should be no need to prove that the pure Arabs of the past were, in general, a black-skinned people. In discussing the appearance of the Sharifs, I believe that it is appropriate for me to begin with the father of the Sharifs- Ali ibn Abi Talib (RAA). In his book Tarikh Al-Khulafaa (The History of the Caliphs), Imam Al-Suyuti described Ali ibn Abi Talib as follows:

و كان علي شيخا سمينا أصلع كثير الشعر ربعة إلى القصر عظيم البطن عظيم اللحية جدا قد ملأت ما بين منكبيه بيضاء كأنها قطن آدم شديد الأدمة

Ali was a heavyset, bald, hairy man of average height which leaned toward shortness. He had a large stomach and a large beard which filled all that was between his shoulders. His beard was white as if it was cotton and he was a black-skinned man.

source:Save the True Arabs: A True Description of the Prophet Mohamed's Family (SAWS)

Mzee Said, huyo ni Ali (ra) na alikuwa mweusi. Uzao wake wa hao wanaoitwa Masharifu ndio usiseme hata hapa Tanga ninaowajua ni kama mimi (mkuria). Wengi wa hawa Waarabu weupe weupe sana wamechanganya damu za Warumi Wagiriki na Persia kwa kule kuoa wasichana wengi tokea maeneo hayo walioletwa na ujakazi au utumwa na kama hayo. Misri na Lebanon ni mahali pazuri sana pa kutolea mifano. Linganisha hao walebanon au wamisri wa sasa na waarabu ambao hawajachanganya sana damu kama wa Sudan kaskazini au yemen. Mchanganyiko wa damu huu ulitapakaa sana wakati wa utawala wa Abassids na ndicho kipindi ambacho tunaona hawa machotara walianza hata kuwadharau waarabu asilia weusi. Kwenye hiyo article (Link) pia utasoma;

Nineth century poet Abu Al-Hasan Ali ibn Al-Abbas ibn Jurayj, known as Ibn Al-Rumi, wrote a long poem to the Abbasids blaming them for the way that they treated the family of the Prophet Mohamed (SAWS). It should be understood that at that time, the Abbasids had become very mixed with the Romans, Greeks, and Persians. Here is part of what Ibn Al-Rumi said in his famous poem called Al-Jeemia:

"You insulted them (the family of the Prophet Mohamed) because of their blackness while there are still pure-blooded black-skinned Arabs. However, you are blue (eyed) - the Romans have embellished your faces with their color."

Kwa hiyo muonekano mweusi huko Zenj sio tatizo Mzee Said, Waarabu siku zote were BLACK labda kwa asiyejua

upload_2016-4-29_5-14-51.jpeg
zanz-Ali%20II.jpg
zanz-Khalifa%20II.jpg
 
Mzee Mohamed Said, Kuna jambo moja ulilianza lakini tukaliachia njiani ambalo ni muhimu na ni bora wasomaji wakaelewa nalo ni muonekano wa mwarabu/waarabu dhidi ya wasio waarabu haswa waafrika ili kutowachanganya wasomaji. Waarabu kiasilia yao ni watu wenye ngozi nyeusi kama waafrika. Muonekano wao wa kiasilia upo jirani sana na wa kiafrika ukiondoa ujazo wa ndevu kwa wanaume na machache sana kama hayo. Ndio maana wakazi wote wa ulaya walikuwa wanawaita waarabu MOORS-WEUSI. Waarabu walioikalia Hispania ya sasa walikuwa ni wenye muonekano mweusi na hawa walikuwa waarabu halisia.

Lakini hebu tuwaangalie waarabu wakureishi hususan tuiangalie familia ya Mtume (saw) imeelezwaje;

A True Description of the Prophet Mohamed's Family (SAWS)


The term Sharif (nobleman) or Sayyid is used to describe a descendant of the Prophet Mohamed (SAWS) through his daughter Fatima (RAA). They are descendants of Al Hasan and Al Husein- the two sons of Ali ibn Abi Talib (RAA) and Fatima the daughter of the Prophet Mohamed (SAWS). The Prophet Mohamed (SAWS) and Ali ibn Abi Talib (RAA) are from the Bani Hashim branch of the tribe of Quraish. They are the noblest of the Arabs. The Prophet Mohamed (SAWS) and Ali ibn Abi Talib (RAA) were first cousins. Ali’s father, Abi Talib, was the brother of the Prophet’s (SAWS) father. Once it has been established that the Bani Hashim were a black-skinned people, there should be no need to prove that the pure Arabs of the past were, in general, a black-skinned people. In discussing the appearance of the Sharifs, I believe that it is appropriate for me to begin with the father of the Sharifs- Ali ibn Abi Talib (RAA). In his book Tarikh Al-Khulafaa (The History of the Caliphs), Imam Al-Suyuti described Ali ibn Abi Talib as follows:

و كان علي شيخا سمينا أصلع كثير الشعر ربعة إلى القصر عظيم البطن عظيم اللحية جدا قد ملأت ما بين منكبيه بيضاء كأنها قطن آدم شديد الأدمة

Ali was a heavyset, bald, hairy man of average height which leaned toward shortness. He had a large stomach and a large beard which filled all that was between his shoulders. His beard was white as if it was cotton and he was a black-skinned man.

source:Save the True Arabs: A True Description of the Prophet Mohamed's Family (SAWS)

Mzee Said, huyo ni Ali (ra) na alikuwa mweusi. Uzao wake wa hao wanaoitwa Masharifu ndio usiseme hata hapa Tanga ninaowajua ni kama mimi (mkuria). Wengi wa hawa Waarabu weupe weupe sana wamechanganya damu za Warumi Wagiriki na Persia kwa kule kuoa wasichana wengi tokea maeneo hayo walioletwa na ujakazi au utumwa na kama hayo. Misri na Lebanon ni mahali pazuri sana pa kutolea mifano. Linganisha hao walebanon au wamisri wa sasa na waarabu ambao hawajachanganya sana damu kama wa Sudan kaskazini au yemen. Mchanganyiko wa damu huu ulitapakaa sana wakati wa utawala wa Abassids na ndicho kipindi ambacho tunaona hawa machotara walianza hata kuwadharau waarabu asilia weusi. Kwenye hiyo article (Link) pia utasoma;

Nineth century poet Abu Al-Hasan Ali ibn Al-Abbas ibn Jurayj, known as Ibn Al-Rumi, wrote a long poem to the Abbasids blaming them for the way that they treated the family of the Prophet Mohamed (SAWS). It should be understood that at that time, the Abbasids had become very mixed with the Romans, Greeks, and Persians. Here is part of what Ibn Al-Rumi said in his famous poem called Al-Jeemia:

"You insulted them (the family of the Prophet Mohamed) because of their blackness while there are still pure-blooded black-skinned Arabs. However, you are blue (eyed) - the Romans have embellished your faces with their color."

Kwa hiyo muonekano mweusi huko Zenj sio tatizo Mzee Said, Waarabu siku zote were BLACK labda kwa asiyejua

View attachment 343222
zanz-Ali%20II.jpg
zanz-Khalifa%20II.jpg
Wickama,
Hii si mada yangu.
 
Kuna lile jengo pale mji mkongwe lenye nguzo kubwa sana (sikumbuki jina) ilidaiwa enzi hizo kwamba watumwa walizikwa hai katika kila nguzo. Sasa hivi inakanushwa kwamba haikutokea hivyo! Inaelekea historia inapotoshwa pande zote in favour of the masters and pande mwingine unao favour the slaves.

Kwa kifupi wanzazibari mmechanganyikiwa. Uzuri wa leo wa mwarabu haubadili maovu waliyofanya then. Na haubadilishi kamwe role played na wamisionari katika kuondoa biashara ya watumwa.

Get your act together.

Anyway hata huku bara sielewi na sitaelewa kamwe kwa nini Mkwawa ni shujaa. Personally mtu anaye commit suicide namuona ni coward.
It is better to die than to live like a coward - imam hussein.
 
Unless you rank yourself so low, sioni moral justification ya kuutukuza utumwa wa waarabu au wa wazungu.
Naona ajabu namna ya kujadili "Waarabu" (wote???) au "Wazungu" (wote???), ilhali sehemu kubwa ya watumwa Waafrika waliuzwa na Waafrika kwa wafanyabiashara Waarabu na Wazungu. Sivyo? Vipi biashara wao?
 
Shekhe wabongo wanakujua vizuri. Wamekulamba mikono. Nimecheka sanaHaishangazi lakini. Nina hakika hata huko kenya na uganda hawakufahamu vizuri.
Wickama,
Hakuna huyo unaemwita Muarabu Zanzibar.
Wala hakuna Muarabu anaetaka kuja kuitawala Zanzibar.

Hao wanaoitwa Waarabu ni Akina Mansour Yusuf Himidi mtoto wa Fatma Jinja
na baba yake ni Mwafrika Brigadia Yusuf Himidi babu yake ni Salim Jinja na
yeye pia kachanganya damu vizazi na vizazi.

Hao wanaoitwa Waarabu ni akina Shadya Yusuf Himidi.
Hawa wote ni Wazanzibari kama Abeid Amani Karume alivyokuwa Mzanzibari.

Wala sina haja ya kukueleza asili ya Karume na lini wazee wake waalifika Zanzibar
kwani haina maana yoyote.

Amani Abeid Karume kachanganya damu na kapata kuwa Rais wa Zanzibar na
mkewe Bi Shadya kawa ''First Lady,'' na ''Uarabu,'' wake.

Mababu na mababu wamezaliwa na kuzikwa Zanzibar sasa zaidi ya miaka 200.

Hilo la Waafrika kuuzwa utumwani limefanyika na hakuna atakaepinga lakini
limefanyika pia katika Transatlantic Slave Trade si Zanzibar peke yake.

Historia hii ni maarufu inajulikana.

Nasikitika kuwa sasa unaanza kunilisha maneno.
Wapi nimesema mimi sijali maisha ya Waafrika?

Nani kakwambia jela ya mateso ni ya ''Muomani mmoja.''
Abdallah Kassim Hanga ni Mzaramo katolewa jela ya mateso kwenda kuuawa.

Hanga hakuwa na tone hata la mbali la Kiarabu.
Mimi nikimjua vyema kabisa.

Si yeye tu baba yangu alikuwa na marafiki zake wawili Jaha Ubwa na Abdulaziz
Twala
wakitembeleana.

Wameuliwa.

Aman Thani ni Mshirazi si Muomani asili yake Iran ndiyo alipopata jina la
Aman Thani Fairuz.

Fairuz ni jina la ki-Persia.

Unataka kufanya mjadala wa Zanzibar ilhali historia ya Zanzibar wewe mgeni nayo.
Hili halitawezekana.

Unachekesha.

Bahati mbaya unaniandikia Kiingereza sijui kwa nini na mimi huchukia sana kumjibu
Mswahili mwenzangu kwa Kiingereza.

Yuko mtu hapa nilimuonya kuhusu tabia hiyo nikamwambia mimi nina Merit Pass First
Class English Oral, Cambridge 1970 na nimekuwa katika mradi wa Oxford University
Press East Africa wa kusomesha Kiingereza na nimeandika vitabu viwili katika mradi
huo vinasomeshwa Kenya na Uganda (isipokuwa Tanzania) na nikaweka na picha za
vitabu vyangu.

Hakuna wa kunitisha kwa Kiingereza.

Nikamuonya aache kunichomekea Kiingereza.
Hajarudi tena hapa Majlis.

Unachekesha.

Waarabu kama unavyopenda kuwaita wameuliwa katika mapinduzi kwa kuwa
babu zao walikamata watumwa.

Hii ndiyo hoja yako?
Soma ''Nuremberg Trials.''

Wajerumani wengi Manazi walinyongwa baada ya Vita Vya Pili kwa falsafa kama
hizi unazoleta leo.

Namaliza kama ulivyomaliza wewe.
Hiyo ''reverse gear'' kuelekea ''Arab domination,'' itatokea wapi?

Au kwako wewe Maalim Seif na Ismail Jussa ni Muarabu na Muhindi?
Ugozi.

Hebu pitia orodha ya wagombea uchaguzi Zanzibar kisha nipe orodha ya Waarabu
ambao wewe umewaona mle.

Ati unaniandikia mimi: ''pure and simple.''
Unachekesha sana.

Huu mjadala nauweka katika blog yangu mohammedsaid.com ili dunia ijue
jamaa kutoka Bara wanavyoiona Zanzibar na Wazanzibari na jinsi wasivyojua historia
yake.

2016%2B-%2B1
 
Lusungo,
Umewashutumu Waarabu.
Vipi kuhusu Wazungu?

Unayo elimu ya Transatlantic Slave Trade?
Kwani Mkuu historia ya wazungu huku Africa haifundishwi!? Mbona na wazungu wanapondwa vibaya sana na hata mazuri yao yanafundishwa kama ni kitu kibaya!? wao walijenga shule, college, hospitali, madaraja, barabara na reli na bado vinpondwa vinaitwa tools for collonial Economy!! Hata wamissionary wanaitwa vitangulizi au maspy wa wakoloni na walitumika kuwa nyong'onyeza waafrica tena wanatumia verse za kwenye Bible.
 
Waliochinjwa ile 1964 kwenye yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar sio Waarabu bali ni Wanzanzibari, waliozaliwa Zanzibar na Kukulia Zanzibar. Mwarabu ni Sultan Sayyid Said aliyetoka Oman na kuhamishia sultanet yake Zanzibar ile mwaka 1832 hivyo masultan waliofuatia walizaliwa Zanzibar na kukulia Zanzibar hivyo ni Wazanzibari, hadi Sultan wa mwisho aliyepinduliwa alikuwa Mzanzibari.
P
 
Waarabu walifanya kweli vitendo vya kutweza utu wa mwafrika wala si propaganda!
It's true ni kweli
P
 
Kitendo cha waarabu kuwachukua mababu zetu utumwani ni cha kishenzi tofauti na ustaarabu.
Kutetea hali hiyo napata shida kumwitaje mtu kama Mohamed Said.
Naunga mkono hoja
P
 
Back
Top Bottom