majata
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 431
- 179
kwanini kila maandamano yanayopangwa nchi hii yanakuwa hayafanyiki kwa visingizio vya usalama? Nilini tutaandamana kwa uhuru bila kuingiliwa na jeshi la polisi lilokopale kwa maslahi ya viongozi huku wakiwakandamiza raia wakawaida? Siku ipo na siku inakuja tutaandamana kwa nguvu ya umma.