MwafrikaHalisi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,741
- 510
Ila to be honest, CUF imefulia. Ipo level za PPT Maendeleo
mimi nafikiri taaluma ya habari inakataza kuchanganya dini na siasa.:hand:
Hi ni kwani nini siku hizi vyombo vingi vya habari hapa nchini vimekuwa havitoi habari kuhusiana na chama cha wananchi (cuf) nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu sasa cuf wamekuwa wakifanya mikutano mikubwa ya hadhara lakini kesho yake hakuna hata chombo kimoja cha habari kitakacho kuwa kimetoa habari ya jumapili tarehe 11/03/2012 walifanya mapokezi makubwa sana ya kiongozi wao kwa takwimu za haraka hakuna mapokezi makubwa kama yale kutokea tanzania ukiondoa msiba wa baba wa taifa labda ndio yanaweza fanana kwani yaliyazidi mapokezi ya papa mwaka 1990 na mandela pia alipotembelea tanzania lakini chakushangaza jumatatu yake hakuna hata sehemu yalipotangazwa mbaya zaidi nilikuwa naangalia taarifa ya habari waandishi wa itv walisema wameshindwa pata habari zaidi kutokana na kutishiwa kupingwa na mashabiki wa cuf japo jambo hili si kweli kwani toka kampeni za uhaguzi mwaka 2010 itv imekuwa haitohi kabisa habari za cuf labda tbc ndio imekuwa ikionyesha habari za cuf japo kwa udogo
sasa huwa najiuliza chanzo ni nini? Mpaka tumekuwa tunalazimishwa kusikilizishwa sera za kukopi za vyama viwili tu. Au wahariri nao siku hizi wamekuwa kama madj hawatohi habari mpaka kitu kidogo kwanza
maana kama wanachama cuf bado wako wengi na mapokezi yalidhililisha hilo hata slaa alijionea umati ulivyo jaa irport tarehee 11/3 2012 kweli bongo hakuna wasomi wenye kujijua watu wote wamekuwa watumwa wa wana siasa
kwa sababu kutoandika habari za vikao au mikutano ya vyama vingine ni kutunyima haki yetu wananchi kuchagua chama chenye sera nzuri.
Hahaha.....watu mnachekesha sana, kuna mtu kamtukana Slaa kwa sababu ya udini hujakemea, mwehu mwingine katukana wahariri wa vyombo vya habari kiudini udini, hujakemea. Huyu nae katumia haki yake ya kikatiba kueleza anachokiona kinafaa umekuja juu! Kwani nani asiyejua kuwa KAFU ni chama cha MISIKITINI? Ukweli hata kama ni mchungu upokee tu mkuuWewe jamaa kumbe mnafiki kiasi hiki! Kila siku unapika kelele humu JF za udini kumbe huna lolote, mdini mkubwa wewe tena mnafiki, kwa hiyo CDM yenu ni kwa ajili ya Wakirstu nyie ndiyo mnaemualibia Dk Slaa, kwa style hii CDM hawawezi kuchukuwa nchi kwa kutegemea wakiristu peke yao.
Tungekuwa tumesha anzisha TV yetu ile tuliyochangishana mamilioni uwanja wa taifa Chama chetu cha KAFU kingepata kavereji pana sanaMajority ya wahariri wa vyombo vya habari Tanzania ni Wakorintho! Na wakoritho wana chama chao cha siasa, Corithians Democratic Movement (CDM). Usitegemee waandike habari yeyote inayo-promote CUF! Ikiwa ni negative news utashangaa wanavyoipa kipau mbele! Refer ile saga ya HR na ' Kifo Cha CUF'!
Kipo mkuu. Bahatisha kukatiza mitaa flan wakati wa adhana, utakisikia kikitajwaKwani CUF bado kipo?.....
Habari za CUF huandikwa pindi likitokea lenye mwelekeo hasi kwa chama, lakini lenye mwelekeo chanya haliandikwi na wala halitangazwi abadan.
Kwenye familia za kiafrika anayesikika ni baba sasa CUF si wameolewa na CCM ndio maana anayesikika baada ta ndoa ni mume wake CUF ambaye ni CCM,ndio raha ya ndoa hata jina la asili linapotea,CUF sasa kwishney ni historiaHi ni kwani nini siku hizi vyombo vingi vya habari hapa nchini vimekuwa havitoi habari kuhusiana na chama cha wananchi (cuf) nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu sasa cuf wamekuwa wakifanya mikutano mikubwa ya hadhara lakini kesho yake hakuna hata chombo kimoja cha habari kitakacho kuwa kimetoa habari ya jumapili tarehe 11/03/2012 walifanya mapokezi makubwa sana ya kiongozi wao kwa takwimu za haraka hakuna mapokezi makubwa kama yale kutokea tanzania ukiondoa msiba wa baba wa taifa labda ndio yanaweza fanana kwani yaliyazidi mapokezi ya papa mwaka 1990 na mandela pia alipotembelea tanzania lakini chakushangaza jumatatu yake hakuna hata sehemu yalipotangazwa mbaya zaidi nilikuwa naangalia taarifa ya habari waandishi wa itv walisema wameshindwa pata habari zaidi kutokana na kutishiwa kupingwa na mashabiki wa cuf japo jambo hili si kweli kwani toka kampeni za uhaguzi mwaka 2010 itv imekuwa haitohi kabisa habari za cuf labda tbc ndio imekuwa ikionyesha habari za cuf japo kwa udogo
sasa huwa najiuliza chanzo ni nini? Mpaka tumekuwa tunalazimishwa kusikilizishwa sera za kukopi za vyama viwili tu. Au wahariri nao siku hizi wamekuwa kama madj hawatohi habari mpaka kitu kidogo kwanza
maana kama wanachama cuf bado wako wengi na mapokezi yalidhililisha hilo hata slaa alijionea umati ulivyo jaa irport tarehee 11/3 2012 kweli bongo hakuna wasomi wenye kujijua watu wote wamekuwa watumwa wa wana siasa
kwa sababu kutoandika habari za vikao au mikutano ya vyama vingine ni kutunyima haki yetu wananchi kuchagua chama chenye sera nzuri.