Kwanini habari za chama cha wananchi CUF haziandikwi wala kuonyeshwa kwenye vyombo vya habari?

shakeel 11

Member
Mar 8, 2012
9
2
Hi ni kwani nini siku hizi vyombo vingi vya habari hapa nchini vimekuwa havitoi habari kuhusiana na chama cha wananchi (cuf) nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu sasa cuf wamekuwa wakifanya mikutano mikubwa ya hadhara lakini kesho yake hakuna hata chombo kimoja cha habari kitakacho kuwa kimetoa habari ya jumapili tarehe 11/03/2012 walifanya mapokezi makubwa sana ya kiongozi wao kwa takwimu za haraka hakuna mapokezi makubwa kama yale kutokea tanzania ukiondoa msiba wa baba wa taifa labda ndio yanaweza fanana kwani yaliyazidi mapokezi ya papa mwaka 1990 na mandela pia alipotembelea tanzania lakini chakushangaza jumatatu yake hakuna hata sehemu yalipotangazwa mbaya zaidi nilikuwa naangalia taarifa ya habari waandishi wa itv walisema wameshindwa pata habari zaidi kutokana na kutishiwa kupingwa na mashabiki wa cuf japo jambo hili si kweli kwani toka kampeni za uhaguzi mwaka 2010 itv imekuwa haitohi kabisa habari za cuf labda tbc ndio imekuwa ikionyesha habari za cuf japo kwa udogo

sasa huwa najiuliza chanzo ni nini? Mpaka tumekuwa tunalazimishwa kusikilizishwa sera za kukopi za vyama viwili tu. Au wahariri nao siku hizi wamekuwa kama madj hawatohi habari mpaka kitu kidogo kwanza

maana kama wanachama cuf bado wako wengi na mapokezi yalidhililisha hilo hata slaa alijionea umati ulivyo jaa irport tarehee 11/3 2012 kweli bongo hakuna wasomi wenye kujijua watu wote wamekuwa watumwa wa wana siasa
kwa sababu kutoandika habari za vikao au mikutano ya vyama vingine ni kutunyima haki yetu wananchi kuchagua chama chenye sera nzuri.
 
Hi ni kwani nini siku hizi vyombo vingi vya habari hapa nchini vimekuwa havitoi habari kuhusiana na chama cha wananchi (cuf) nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu sasa cuf wamekuwa wakifanya mikutano mikubwa ya hadhara lakini kesho yake hakuna hata chombo kimoja cha habari kitakacho kuwa kimetoa habari ya jumapili tarehe 11/03/2012 walifanya mapokezi makubwa sana ya kiongozi wao kwa takwimu za haraka hakuna mapokezi makubwa kama yale kutokea tanzania ukiondoa msiba wa baba wa taifa labda ndio yanaweza fanana kwani yaliyazidi mapokezi ya papa mwaka 1990 na mandela pia alipotembelea tanzania lakini chakushangaza jumatatu yake hakuna hata sehemu yalipotangazwa mbaya zaidi nilikuwa naangalia taarifa ya habari waandishi wa itv walisema wameshindwa pata habari zaidi kutokana na kutishiwa kupingwa na mashabiki wa cuf japo jambo hili si kweli kwani toka kampeni za uhaguzi mwaka 2010 itv imekuwa haitohi kabisa habari za cuf labda tbc ndio imekuwa ikionyesha habari za cuf japo kwa udogo

sasa huwa najiuliza chanzo ni nini? Mpaka tumekuwa tunalazimishwa kusikilizishwa sera za kukopi za vyama viwili tu. Au wahariri nao siku hizi wamekuwa kama madj hawatohi habari mpaka kitu kidogo kwanza

maana kama wanachama cuf bado wako wengi na mapokezi yalidhililisha hilo hata slaa alijionea umati ulivyo jaa irport tarehee 11/3 2012 kweli bongo hakuna wasomi wenye kujijua watu wote wamekuwa watumwa wa wana siasa
kwa sababu kutoandika habari za vikao au mikutano ya vyama vingine ni kutunyima haki yetu wananchi kuchagua chama chenye sera nzuri.

Mkuu kwa hivi sasa CUF wamefufua gazeti lao linaitwa FAHAMU.Kila habari yao utapata huko.Linatoka kila Jumatatu.
 
Wameunda sirikali ya mshikamano wa kitaifa na ccm hivyo hakuna haja ya vyombo vya habari kurusha habari za cuf na ccm separately itakuwa ni kurusha habari ile ile. Subiri hadi ndoa itakapo vunjika
 
Hi ni kwani nini siku hizi vyombo vingi vya habari hapa nchini vimekuwa havitoi habari kuhusiana na chama cha wananchi (cuf) nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu sasa cuf wamekuwa wakifanya mikutano mikubwa ya hadhara lakini kesho yake hakuna hata chombo kimoja cha habari kitakacho kuwa kimetoa habari ya jumapili tarehe 11/03/2012 walifanya mapokezi makubwa sana ya kiongozi wao kwa takwimu za haraka hakuna mapokezi makubwa kama yale kutokea tanzania ukiondoa msiba wa baba wa taifa labda ndio yanaweza fanana kwani yaliyazidi mapokezi ya papa mwaka 1990 na mandela pia alipotembelea tanzania lakini chakushangaza jumatatu yake hakuna hata sehemu yalipotangazwa mbaya zaidi nilikuwa naangalia taarifa ya habari waandishi wa itv walisema wameshindwa pata habari zaidi kutokana na kutishiwa kupingwa na mashabiki wa cuf japo jambo hili si kweli kwani toka kampeni za uhaguzi mwaka 2010 itv imekuwa haitohi kabisa habari za cuf labda tbc ndio imekuwa ikionyesha habari za cuf japo kwa udogo

sasa huwa najiuliza chanzo ni nini? Mpaka tumekuwa tunalazimishwa kusikilizishwa sera za kukopi za vyama viwili tu. Au wahariri nao siku hizi wamekuwa kama madj hawatohi habari mpaka kitu kidogo kwanza

maana kama wanachama cuf bado wako wengi na mapokezi yalidhililisha hilo hata slaa alijionea umati ulivyo jaa irport tarehee 11/3 2012 kweli bongo hakuna wasomi wenye kujijua watu wote wamekuwa watumwa wa wana siasa
kwa sababu kutoandika habari za vikao au mikutano ya vyama vingine ni kutunyima haki yetu wananchi kuchagua chama chenye sera nzuri.

Habari za CUF haziuziki na wala hazina mvuto kwa wasomaji hivyo basi kuzichapisha zaweza kusababbisha watu wasinunue magazeti na kusababishia kampuni husika hasara

 
tatizo mfumo, wanakibeba chadema wewe huoni hata slaa akiwa chooni anak.,nya kesho utakuta gazetini.
 
Haya bana wowowo! Sikutegemea ndg yangu wowowo kama ungeweza kujibu vizuri namna hii. Watu kama ninyi ni wachache sana na ndo mmeiletea Tz mafanikio makubwa namna hii. Wiki ya maji mmeazimisha na mabomba yanatoa maji kila kona Nchi hii. Big up wowowo!
 
mbona unasema slaa kaona! kaonaje kama si kwenye vyombo vya habari. hata mimi niliona labda kama ulitaka irudiwe kwa siku kadhaa. nadhani mambo hayaendi hivyo. lakini pia misimamo yao ni mashaka matupu miongoni mwao kwa hiyo wengi wanaona kama vile hakuna jipya.
 
endelea kujiuliza ndugu badala ya kufanya utafiti mwenyewe! Amani kwako.
 
umeyaona ya CUF tu?,vipi kuhusu
NCCR Mageuzi
TLP
UDP
CCJ
Kila jambo na wakati wake,Nakumbuka miaka ya 90 NCCR kabla ya kuchakachuliwa na CCM ilikuwa juu balaa na kila Media ilikuwa ndo story...
Ndoa ya CUF na CCM imepoteza mvuto wa Chama cha CUF...
Sio Bara tu,Huko Unguja na Pemba ndo kabisa kimebaki Screpa...
RIP CUF...
 
Wengi tuko Arumeru ndizo habari zinazouza magazeti kwa sasa.

CCM tuko Arumeru, Chadema wako Arumeru, CUF watusubiri kwanza hadi uchaguzi utakapoisha wataanza kuandikwa.
 
Majority ya wahariri wa vyombo vya habari Tanzania ni Wakorintho! Na wakoritho wana chama chao cha siasa, Corithians Democratic Movement (CDM). Usitegemee waandike habari yeyote inayo-promote CUF! Ikiwa ni negative news utashangaa wanavyoipa kipau mbele! Refer ile saga ya HR na ' Kifo Cha CUF'!
 
umeyaona ya CUF tu?,vipi kuhusu
NCCR Mageuzi
TLP
UDP
CCJ
Kila jambo na wakati wake,Nakumbuka miaka ya 90 NCCR kabla ya kuchakachuliwa na CCM ilikuwa juu balaa na kila Media ilikuwa ndo story...
Ndoa ya CUF na CCM imepoteza mvuto wa Chama cha CUF...
Sio Bara tu,Huko Unguja na Pemba ndo kabisa kimebaki Screpa...
RIP CUF...


Vyama vingine ni vya msajiri wa vyama vya siasa John Tendwa

vyama vya CCM, Chadema na CUF ndivyo vyetu wananchi vingine vilishakufa na vingine viko mahututu ICU tumemrudishia Tendwa kwa ajili ya matibabu.
 
tatizo mfumo, wanakibeba chadema wewe huoni hata slaa akiwa chooni anak.,nya kesho utakuta gazetini.


Em ondoa ujinga wako hapa. Gazeti gani limetangaza Slaa alikuwa chooni jana? We lazima utakuwa hawa watoto wamezaliwa miaka ya tisini. Viooongo, viongo!
 
Majority ya wahariri wa vyombo vya habari Tanzania ni Wakorintho! Na wakoritho wana chama chao cha siasa, Corithians Democratic Movement (CDM). Usitegemee waandike habari yeyote inayo-promote CUF! Ikiwa ni negative news utashangaa wanavyoipa kipau mbele! Refer ile saga ya HR na ' Kifo Cha CUF'!

Kwa hivyo unashauri waislam nao waingie kwny ulimwengu wa habari ili chama chenu cha kiislamu kiandikwe?!! Bwana asifiwe.
R.I.P CUF:lock1:
 
Majority ya wahariri wa vyombo vya habari Tanzania ni Wakorintho! Na wakoritho wana chama chao cha siasa, Corithians Democratic Movement (CDM). Usitegemee waandike habari yeyote inayo-promote CUF! Ikiwa ni negative news utashangaa wanavyoipa kipau mbele! Refer ile saga ya HR na ' Kifo Cha CUF'!

Mkuu si mna magazeti yenu ya Annuur,Alhudaa na Fahamu?
 
Mkuu si mna magazeti yenu ya Annuur,Alhudaa na Fahamu?

Wewe jamaa kumbe mnafiki kiasi hiki! Kila siku unapika kelele humu JF za udini kumbe huna lolote, mdini mkubwa wewe tena mnafiki, kwa hiyo CDM yenu ni kwa ajili ya Wakirstu nyie ndiyo mnaemualibia Dk Slaa, kwa style hii CDM hawawezi kuchukuwa nchi kwa kutegemea wakiristu peke yao.
 
Kwani CUF bado kipo? Si kilisha expire? Ukiuliza kwanini hakiandikwi ni sawa na kuuliza kwanini vyama vya TANU,ASP, na TAA haviandikwi habari zake kwenye magazeti ya sasa.
 
Majority ya wahariri wa vyombo vya habari Tanzania ni Wakorintho! Na wakoritho wana chama chao cha siasa, Corithians Democratic Movement (CDM). Usitegemee waandike habari yeyote inayo-promote CUF! Ikiwa ni negative news utashangaa wanavyoipa kipau mbele! Refer ile saga ya HR na ' Kifo Cha CUF'!

Hapa unamaanisha au unadadhibitisha kuwa CUF wote wana DINI moja na mwanachama wao lazima uwe wa dini hiyo ?
 
Back
Top Bottom