Kwanini Gharama za Simu na Internet za Kenya ziko chini kuliko Tanzania?

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,598
8,738
Mimi bado nashangazwa na sababu hasa ya kwanini Gharama za Internet za Tanzania ziko juu sana ukilinganisha na Kenya. Cable ambayo tunatumia ni hiyohiyo Kenya inatumia, wote tumepakana na bahari. Sasa ni sababu gani ya kufanya ghrarama hasa za Internet ziwe juu hivyo. Wafanyabiashara wanaotumia Internet wanasema ndiyo gharama kubwa kuliko hata kodi ya office. Kuna manufaa mengi sana ya kuwa na Internet ya bei ya chini kama Kenya kwani pamoja na biashara inasaidia sana kwenye elimu. Kuna biashara tunashidwa kuja kufanya Tanzania kwasababu gharara na speed ya internet ziko juu sana. Badala ya kwenye kufungua kampuni nyumbani tusaidie inatulazimu tuwape kazi za Internet India!!. Tanzania inabidi tubadilike maana matatizo mengi ni ya kujitakia ndugu zangu.
 
Kwa sabau Kenya kuna mafisadi lakini kuna utaifa wakati TZ kuna mafisadi lakini hakuna utaifa
 
Tatizo la Tanzania ni kuwa makampuni mengi ya simu licha ya kuwa ya kitapeli mengi ni mali ya mafisadi walioko madarakani.Hawa wahindi na wengine wanaojiita Celtel, Airtel na upuuzi mwingine ni mali ya mafisadi wetu. Hao wanaojiita CEOs ni makuwadi na mawakala wa mafisadi wetu. Inashangaza watanzania wanazidi kunyonywa katika kila huduma. Huduma zenyewe mbovu na za kizamani. Tumeambiwa tunakwenda digital. Hatutafika popote bila kuwatolea uvivu. Hii ndiyo siri ya vihiyo kama Mwamvita Makamba kuula Celtel. Atashindwaje kuula wakati ni mali ya baba yake. Ajabu ni kwamba kaka yake Januari amepewa uwaziri mdogo wa mawasiliano ili kuwezesha kampuni ya baba yake. Nashangaa kwanini Kikwete hakuona huu mgongano wa maslahi. Je ni kwa vile naye yumo?
 
Tatizo la Tanzania ni kuwa makampuni mengi ya simu licha ya kuwa ya kitapeli mengi ni mali ya mafisadi walioko madarakani.Hawa wahindi na wengine wanaojiita Celtel, Airtel na upuuzi mwingine ni mali ya mafisadi wetu. Hao wanaojiita CEOs ni makuwadi na mawakala wa mafisadi wetu. Inashangaza watanzania wanazidi kunyonywa katika kila huduma. Huduma zenyewe mbovu na za kizamani. Tumeambiwa tunakwenda digital. Hatutafika popote bila kuwatolea uvivu. Hii ndiyo siri ya vihiyo kama Mwamvita Makamba kuula Celtel. Atashindwaje kuula wakati ni mali ya baba yake. Ajabu ni kwamba kaka yake Januari amepewa uwaziri mdogo wa mawasiliano ili kuwezesha kampuni ya baba yake. Nashangaa kwanini Kikwete hakuona huu mgongano wa maslahi. Je ni kwa vile naye yumo?

Mkuu hiyo kwenye red alishahama VodaCom kumbe!
 
If you compare yourself with others, you may become vain or bitter,
for always there will be greater and lesser persons than yourself.

 
Internet,bia na sigara ni bidhaa za anasa, kodi yake iko juu wakati huo huo utaambiwa serikali inategemea kuboresha mawasiliano nafuu hadi vijijini. Hizi ni ndoto za alinacha.
 
Kwa wasiojua gharama za Internet nchini Kenya, huu ni msaada.
The lowest cost from Safaricom is the
daily mobile internet at Ksh 1 per MB (5mb f@ Ksh 5, 10Mb @8, 25Mb @Ksh 20)
Other bundle plans in Kenya Shillings are:
40MB=50,
80MB 100
200MB= 250,
500MB = 500, 1.5GB= 1000,
3GB=1,999.
8GB 3,999
25GB 11499
Unlimited
Safaricom out of the bundle rate is Ksh 4
per Megabyte Note: Safaricom bundles get lost when
they expire (about 30 days)
NB:Safaricom leads followed by the rest in provision of Modems and connection
devices. In the same way, safaricom is
seen as the more expensive of the
mobile internet service providers.
 
Tuliambiwamkongo ukija gharama zitashuka naona imekuwa sound
Ata viwanda vya kutumia gas kuzalisha bidhaa kama tbl twiga cement nk tuliambiwa wakianza tumia gas bei zitapingua mpaka
Eo zazidi ongezeka
Mtetezi wa watz alishakufa walibaki ni vibaraka wa mabari tuu
 
tanzania siasa imezidi niliwahi kumuuliza mtu wa ttcl mbona gharama hazishuki wakati tunajua gharamza za fible optic ziko chini akaniambia makampuni mengi bado yana mikataba na makampuni ya satelite kwa ni mikataba huwa ya muda mrefu lakini kuanzia mwaka 2012 gharama zitashuka ingawa bado watakuwa wanatumia kama backup lakini cha ajabu hadi sasa hazijashuka haya makampuni mengi yako shared na wanasiasa wanafikiria namna ya kumnyonya mwananchi badala ya kumsaidia kwani mawasiliano si anasa ndio maana tcra pamoja na kumwajili mtaalamu ili bei za simu za mkononi zipungue ilishindikana
 
"Waheshimiwa" wetu wako bize ku-compare posho zao dhidi ya zile ya wakenya. Wataona saa ngapi mambo ya msingi kama haya?
 
Ivi huyu January halioni hili au nae anaamua kula bati!
Pia kigoda anapaswa alione hili kwenye viwanda vinavyotumia gasi otherwise tunaibiwa
 
nahisi ikishka sana waona kila mtu atakuwa jf na kuwa sumbua wakati mambo ya kawaida tu kutumia net ya bei rahisi kazi ipo kibongobongo...

halafu nasikia hawa zuku tv huko kenya wanatoa tv na internet services sasa hapa bongo itakuwaje wakiweka hiyo hudumu si tutalipa zaidi ya dstv..
 
Kwa wasiojua gharama za Internet nchini Kenya, huu ni msaada.
The lowest cost from Safaricom is the
daily mobile internet at Ksh 1 per MB (5mb f@ Ksh 5, 10Mb @8, 25Mb @Ksh 20)
Other bundle plans in Kenya Shillings are:
40MB=50,
80MB 100
200MB= 250,
500MB = 500, 1.5GB= 1000,
3GB=1,999.
8GB 3,999
25GB 11499
Unlimited
Safaricom out of the bundle rate is Ksh 4
per Megabyte Note: Safaricom bundles get lost when
they expire (about 30 days)
NB:Safaricom leads followed by the rest in provision of Modems and connection
devices. In the same way, safaricom is
seen as the more expensive of the
mobile internet service providers
.

Hapo kw red, which company now is seen as the cheapest ISP? (In Kenya)
 
YU Mobile is the cheapest ISP in Kenya, and third in terms of subscribers. Its speed is relatively low compared to Safaricon and Zain.
DATA BUNDLES BUNDLE COST (shs) SUBSCRIPTION
MODE Night Data Bundle 1sh/mb
15 days Unlimited Ksh 799
30 days unlimited Ksh 999
1GB Bundle Ksh 399
2GB Bundle Ksh 599
INTERNET ON MOBILE BUNDLES BUNDLE COST (shs) SUBSCRIPTION MODE
15 days Unlimited (IOM) Ksh 99
30 days Unlimited (IOM) Ksh 199
3 days Unlimited (IOM) 29
 
Back
Top Bottom