Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Sasa hili ni suala jengine ambalo halihusiani na kupelekana guest house.
Kila mnapokutana!Yani kwako ni mwiko hata kuongelea!
Kila mnapokutana!Yani kwako ni mwiko hata kuongelea!
hili ni neno mkuu, hasa kwa hii jinsia ya upinzani! unaweza ukapeleka mrembo nyumbani akaona umeanika bukta lako chafu kwenye microwave , yeye ikawa ndio sababu ya kukumwaga. bora mkamalizane gesti tu lawama zote anabeba meneja wa gestiProbably with time utazoea polepole..., siwezi mwanzo mwanzo nikaanza kwa kuonyesha weakness ukinikimbia tafanya nini mie??
Sorry pale nilikua namaanisha Michelle
Alafu hapa kwanini tusijiulize kwanini dada asitake anipeleke kwake ili nipaone..., Je ni kwangu tu ambapo tunahitaji kupajua.., nadhani kwa busara, kama dada akinipeleka siku ya kwanza kwake atakuwa amenifunga na mimi nimpeleke kwangu soon or later.Now I wont lie to you guys, for girls wenye kipato au elimu kidogo, atakwambia with conviction "I wont go to a guest house but if it's a fine hotel maybe". Na ikitokea hivyo akapewa offer ya hoteli moja kubwa, atatafuta sababu lukuki kwanini it was okay to go, kama jamaa alikuwa amekunywa so it's safe not to drive.
Sasa hapa ndo nataka nijue...ina maana kupelekwa guest tu inaweza kua definition ya uhusiano wenu sio?
Na nnachotumia hapa ni huo huo uhalisia!Vitu kama nyumba isiyo na dari plus umeme wa mgao kusababisha joto bila feni haviwezi kutokea siku zote za uhusiano wenu!Na kuhusu uduni na woga wa kuonyesha mtu anapoishi kama anajaribu kujenga uhusiano madhubuti ni kosa ukijengwa kwa uongo!Again kama ni kuchezeana haijalishi ila kama kuna nia na malengo mjulishe mtu hali yako halisi achague kusuka au kunyoa!Fikiria kwa uhalisia wa mambo
hili ni neno mkuu, hasa kwa hii jinsia ya upinzani! unaweza ukapeleka mrembo nyumbani akaona umeanika bukta lako chafu kwenye microwave , yeye ikawa ndio sababu ya kukumwaga. bora mkamalizane gesti tu lawama zote anabeba meneja wa gesti
mkuu unamwaga ma point kuliko google. yaani hapa ndio unathibitisha kwamba wadada ni so demandingAlafu hapa kwanini tusijiulize kwanini dada asitake anipeleke kwake ili nipaone..., Je ni kwangu tu ambapo tunahitaji kupajua.., nadhani kwa busara, kama dada akinipeleka siku ya kwanza kwake atakuwa amenifunga na mimi nimpeleke kwangu soon or later.
Nimeona malalamiko na matukio kibao yanayotokea nyumba za wageni yakiletwa humu!Wengine utawagundua ni maInfii kwahiyo hawawezi kupelekana nyumbani ila wengine ni mabachela!Sasa kwa hawa walio single kwanini hua wanapelekana gesti na sio kwenye makazi yao?Jinsi mtu anavyo-value uhusiano inachangia...au ndo inaonyesha kwamba hamna uhusiano pale wala heshima kwa kiasi fulani?Binafsi hua nafikiria mwanaume mpaka akupeleke gesti anakua amekudharau sana!Embu kakaz mtuambie...ni kwanini?
Na nnachotumia hapa ni huo huo uhalisia!Vitu kama nyumba isiyo na dari plus umeme wa mgao kusababisha joto bila feni haviwezi kutokea siku zote za uhusiano wenu!Na kuhusu uduni na woga wa kuonyesha mtu anapoishi kama anajaribu kujenga uhusiano madhubuti ni kosa ukijengwa kwa uongo!Again kama ni kuchezeana haijalishi ila kama kuna nia na malengo mjulishe mtu hali yako halisi achague kusuka au kunyoa!
Na nnachotumia hapa ni huo huo uhalisia!Vitu kama nyumba isiyo na dari plus umeme wa mgao kusababisha joto bila feni haviwezi kutokea siku zote za uhusiano wenu!Na kuhusu uduni na woga wa kuonyesha mtu anapoishi kama anajaribu kujenga uhusiano madhubuti ni kosa ukijengwa kwa uongo!Again kama ni kuchezeana haijalishi ila kama kuna nia na malengo mjulishe mtu hali yako halisi achague kusuka au kunyoa!
Alafu hapa kwanini tusijiulize kwanini dada asitake anipeleke kwake ili nipaone..., Je ni kwangu tu ambapo tunahitaji kupajua.., nadhani kwa busara, kama dada akinipeleka siku ya kwanza kwake atakuwa amenifunga na mimi nimpeleke kwangu soon or later.
Sasa si bora nikukimbie mapema kuliko kutumia muda mwingi kunifanya nikukubali alafu nikimbie baadae?
Mwalimu I told u tutafika tu kwenye mzizi wa hii kitu! Cjawai ckia shosti analamika kwa mashosti wake kua mi kila cku napelekwa kempisky, goleden tulip au sea clif! Sana sana itakua sifa ya kuwapiga bao mashustito!Now I wont lie to you guys, for girls wenye kipato au elimu kidogo, atakwambia with conviction "I wont go to a guest house but if it's a fine hotel maybe". Na ikitokea hivyo akapewa offer ya hoteli moja kubwa, atatafuta sababu lukuki kwanini it was okay to go, kama jamaa alikuwa amekunywa so it's safe not to drive.
Siku za mwanzo za uhusiano kwa wengine inaweza kua mwaka mzima..Hoja sasa imeanza kubadilika naona .......
Mwanzo ulisema mwanamme kukupeleka guest tu, hukuzungumzia kuwa ndio suala la kila siku. Sisi tunavyochangia ni kupelekwa guest siku ya mwanzo au siku za mwanzo za uhusiano wenu.
When you get to know me..? the inner me..? hapo materials things wont matter utakuwa tayari wote wawili tutafute hizo materials
Tatizo ni kwamba hizo negative 5 zinaweza kufunika zile positive za mwanzo..au hata moja tu!Kama mtu yupo kwa uzuri tu hata ubaya kidogo tu unaweza kuua uzuri wote!Kusuka au kunyoa kunategemea negatives na positives, sasa pale unapoanza na negatives kumi kabla haujaingia ya kumi na moja tayari mtu ameshaingia mitini, lakini ukichanganya ukampa 5 positives, 5 negatives na tano positives anaweza akacompromise