Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,609
- 3,500
Sasa kwanini wasisubiri mpaka waelewe ili wapelekane nyumbani?Yani hapo inaonyesha kitanda chake kina thamani zaidi ya mwili wake!
Sasa Lizzy kila mtu ana namna anavyoishi maisha yake....i think hiyo ni issue personal hasa ya mwanaume ambao mara nyingi ndo hu initiate sehemu ya kufanya mapenzi....na dada nae akikubali kulala popote ndo inakuwa hivyo.....ingekuwa watu wanaheshimu miili yao kiivyo au wanachukua muda kuelewana tusingekuwa na matatizo mengi.......japokuwa on the other hand,waweza chukua muda kumuelewa mtu na bado uhusionao usi-work...so its a personal issue inayotegemea mtu anamuonaje au kumchukuliaje yule anayeenda lala nae