Kwanini gazeti tanzaniadaima limeisusia hotuba ya dk shein kuhusu uamsho?

thatha

JF-Expert Member
Apr 29, 2011
15,340
1,566
Wiki nzima sasa gazeti hilo lilitoa habari kuhusu uchomaji wa makanisa iliofanyika zanzibar
hii ni wazi walikuwa na mwakilishi aliekuwa anajituma kutafuta habari.

lkn kwanini gazeti hilo leo hakuna sehemu waliozuungumzia hotuba ya Dk shein kuhusu vurugu zilizotokea?
Au tzdaima hawakufurahia hotuba ile.?
Jee ni haki Tzdaima kulalia upande mmoja wa shillingi?
Hii si inawanyima fursa wasomaji wake ambao sio wakiristo?
 
Acha hayo, Sio kususia ni Uhuru wa Habari sio lazima kudakia na kudandia kila lisemwalo na serikali kuu
 
Acha hayo, Sio kususia ni Uhuru wa Habari sio lazima kudakia na kudandia kila lisemwalo na serikali kuu

mkuu kunamwendelezo wa habari. hivyo inafanya kazi ktk ofisi za kanisa tu?
 
mkuu kunamwendelezo wa habari. hivyo inafanya kazi ktk ofisi za kanisa tu?

Kweli unauhakika huo? Yaani kwasababu unajua Mmiliki wa hilo Gazeti sasa unasema inafanya kazi za Kanisa

Ni Aibu kusikia kuwa wewe umeweka hii habari kwa Mrengo wa kidini, sasa hapo unataka kuongelea Udini? badilisha

Kichwa cha habari tutakuelewa vizuri sana, na hapo tutakujua kuwa Wakristo waliponyamaza kutokusema chochote

Kuhusu kuchomewa Maeneo yao ya Sala, haukuandika chochote ulinyamaza sababu nadhani moyoni ulisema GOTCHA!!!
 
Wiki nzima sasa gazeti hilo lilitoa habari kuhusu uchomaji wa makanisa iliofanyika zanzibar
hii ni wazi walikuwa na mwakilishi aliekuwa anajituma kutafuta habari.

lkn kwanini gazeti hilo leo hakuna sehemu waliozuungumzia hotuba ya Dk shein kuhusu vurugu zilizotokea?
Au tzdaima hawakufurahia hotuba ile.?
Jee ni haki Tzdaima kulalia upande mmoja wa shillingi?
Hii si inawanyima fursa wasomaji wake ambao sio wakiristo?
Ile ilikuwa ni hotuba au alikuwa anatusimulia Historia, ambayo nafikiri wengi wanayo.
 
Kweli unauhakika huo? Yaani kwasababu unajua Mmiliki wa hilo Gazeti sasa unasema inafanya kazi za Kanisa

Ni Aibu kusikia kuwa wewe umeweka hii habari kwa Mrengo wa kidini, sasa hapo unataka kuongelea Udini? badilisha

Kichwa cha habari tutakuelewa vizuri sana, na hapo tutakujua kuwa Wakristo waliponyamaza kutokusema chochote

Kuhusu kuchomewa Maeneo yao ya Sala, haukuandika chochote ulinyamaza sababu nadhani moyoni ulisema GOTCHA!!!
mimi sikuona tukio la rais kuitsiha press conference halafu unashindwa kuwajuza wasomaji wako.
hasa ikiwa wewe ndie uliekuwa kinara wa kuapsha habari ile.hapa kuna jambo limejificha ndani ya media hii. sio bure
 
Wiki nzima sasa gazeti hilo lilitoa habari kuhusu uchomaji wa makanisa iliofanyika zanzibar
hii ni wazi walikuwa na mwakilishi aliekuwa anajituma kutafuta habari.

lkn kwanini gazeti hilo leo hakuna sehemu waliozuungumzia hotuba ya Dk shein kuhusu vurugu zilizotokea?
Au tzdaima hawakufurahia hotuba ile.?
Jee ni haki Tzdaima kulalia upande mmoja wa shillingi?
Hii si inawanyima fursa wasomaji wake ambao sio wakiristo?

Pengine si habari, pengine hawakuitwa ili wasiipate hiyo habari km wawafanyiavyo mwanahalisi,pengine ingewekwa ingekuwa sawa na kutumia gazeti kueneza upotoshaji. Je unaweza rusha Mkanda wa Osama akisema "Kuanzia leo Natangaza fatwa , waislam washambulie makanisa yote popote yalipo"; halafu wewe na chombo cha habari ukitumiacho kama si wafuasi/mshabiki wake/mwenzi kiimani wake na matendo yake?

Issue si kumjenga Shein, issue ni yeye na wenziwe kuwajibika wakati makosa ya jinai na ya kishetani km haya yakifanyika.Sasa km wewe unadhani alipaswa pewa credit kuna shida.
 
mimi sikuona tukio la rais kuitsiha press conference halafu unashindwa kuwajuza wasomaji wako.
hasa ikiwa wewe ndie uliekuwa kinara wa kuapsha habari ile.hapa kuna jambo limejificha ndani ya media hii. sio bure

Kwani Gazeti la Al Noor halikusaidia na kuandika hiyo hotuba? Sababu haliandiki habari za Kanisa
 
Kwani Gazeti la Al Noor halikusaidia na kuandika hiyo hotuba? Sababu haliandiki habari za Kanisa
mimi navyojua annur ni gazeti la dini fulani, tzdaima ni lachama fulani. jee kuna uhusiano gani kati ya chama na kanisa?
 
Tanzania Daima haina wasomaji wasio Wakristo! Wasomaji wake ni CHADEMA.. you can connect the dots.....
 
mimi navyojua annur ni gazeti la dini fulani, tzdaima ni lachama fulani. jee kuna uhusiano gani kati ya chama na kanisa?

Sasa kitu gani kinakuuma kwanini Usisome Gazeti lingine? Haujui kuna Uhuru wa Magazeti? Kama Uhuru wa Vyama Vya Siasa?
 
Tanzania Daima haina wasomaji wasio Wakristo! Wasomaji wake ni CHADEMA.. you can connect the dots.....

Yeah Zitto Kabwe halisomi Tanzania Daima ? Na ni nini kinachokutesa hadi unataka hiyo hotuba iwe kwenye hilo Gazeti?

Haujui kuna Freedom of Speech? Wanaweza kuweka au La Sawasawa na wewe unavyotaka na unavyosema
 
Sasa kitu gani kinakuuma kwanini Usisome Gazeti lingine? Haujui kuna Uhuru wa Magazeti? Kama Uhuru wa Vyama Vya Siasa?
kwa hivyo hili gazeti limesajiliwa kama gazeti la msemakweli na Kiongozi? mimi najua ni la Chadema
 
Yeah Zitto Kabwe halisomi Tanzania Daima ? Na ni nini kinachokutesa hadi unataka hiyo hotuba iwe kwenye hilo Gazeti?

Haujui kuna Freedom of Speech? Wanaweza kuweka au La Sawasawa na wewe unavyotaka na unavyosema

kuendeleza habari. maana ilikamata hoja ya kuchoma makanisa mpaka kila mtu akashangaa. kama la Dini fulani bora libadilishe usajili.
 
Kwanza Hotuba ni nyingi, kinachotakiwa ni nani alichoma hayo Makanisa? ina Maana Maadui wa Muungano ni Makanisa?

Makanisa yalikuwapo tangu 1873, sasa nyie kama mnaona adui ni Kanisa sababu ya Nyerere? kwahiyo Tanzania Daima

Mnajua Mmiliki wake sasa Mnasema matakayo ni Mkristo; ingekuwa Mwananchi Msingesema lolote, kwanini Mnavisa hivyo?

Yaani kila siku kuna kitu kwenye koo lenu kizito mnashindwa kumeza lazima mtoe kwa Jaziba la UDINI?
 
It seems you have run away what I can say is we have just had enough religion conflicts to make us hate, but not

enough to make us love one another. Ignorance and Intolerance are the major cause. Whenever you are confronted with

an opponent. Just conquer him with love. THAT's MY PHILOSOPHY... KINDNESS. We are all Tanganyikan's and Zanzibari's

I would love Zanzibari's to be happy and free but they need to tolerate their christian neighbors who have been there

since 1873. PEACE & LOVE!!!
 
siku hizi tanzania sijui imekuaje..mtu akipewa uongozi flani wanaangalia kama ni muislam or mkristo ametokea upande gani wa tanzania eh tunaanza kua kama wakenya...Nyerere alitufundisha kuungana kuishi pamoja bila kujali dini wala makabila lakini siku hizi mh
 
mkuu kunamwendelezo wa habari. hivyo inafanya kazi ktk ofisi za kanisa tu?

hakuna hotuba ya kipumbavv kama ile. Ndo maana hatuendelei kwa sababu ya ubinafsi, ujinga na tamb za viongozi wetu. Wote wanaozuia muungano usijadiliwe wananufaika na muungano. Haiwezekani wazanzibari kibao kwenye wizara zisizo za muungano bara aafu wabara kufanya biashara zanzibar wanachomewa maduka na kufukuzwa. Rais mzima anaongea kwamba uwanja wa ndege unajengwa bila ramani!!?? Hivi nani aliyeturoga??..? Hivi kweli UWANJA WA NDEGE BILA RAMANI?
 
Back
Top Bottom