jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,824
- 7,593
Utawasikia wakiwataja wachezaji weusi, kama Wanchope, Andrew Cole, Luís Boa-Morte, Kanu, Yakubu, Odemwingie, Darius Vassel, Darren Bent, Jason Robert na wa sasa kama Demba Ba, Balotelli, Gyan, Kalou n.k.
Kwamba wako "UNPREDICTABLE"! Ni neno sijalowahi kulisikia wakiwasema wachezaji weupe, hata kama wanacheza ovyo!
Je hili neno waache kulitumia? Maana linatumika kuwaelezea wachezaji weusi tu! Binafsi naona limekaa kiubaguzi sana!
Mnasemaje wadau?