October
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 2,145
- 92
Hitler hakuwa na wivu juu ya Wayahudi. Alifuata imani ya Upagani wa Kisasa na nadharia juu ya Wayahudi ilitungwa kabla yake na watu kama Duhring na Chamberlain, aliendeleza tu. Itikadi hii ilijengwa juu ya chuki ya karne nyingi kati ya Wakristo dhidi ya Wayahudi.
Waislamu wamekuja katika picha juzijuzi tu tangu kuundwa kwa dola la Israel na kufukuzwa kwa Wapalestina. Zamani Wayahudi walikimbilia nchi za Waislamu wakiteswa katika nchi za Wakristo.
Read the history my friend,
Read how the Grand Mufti of Jerusalem was collaborating with Arab neighbors against Jews long before Israel was re established in its homeland as a nation