Naomba kutoa mwanga kwa watu wengi wasiofahamu.
Huu ni ushauri wa bure kwa wanao ipinga na wanaoi-support(kama mimi) Israel.
Ukweli ni kwamba ukiitazama na kuitafakari Israel kisiasa,kijamii,kisayansi,kiuchumi na vyovyote vile ujuavyo kwa mtazamo wa kimwili(physical laws & human perseption) hakika utaishia kuchanganyikiwa na kuichukia sana Israel, amini nawaambia mkiitazama kwa macho ya rohoni(spiritually) na kuweka tofauti za kidini pembeni hakika mngekili utukufu wa Mungu aliye hai.
Kumbukeni(mnaoamini katika Mungu) kupitia Israel(mlango) Mungu ameukomboa ulimwengu na kupitia mlango huo huo shetani naye anafanya kila mbinu kutaka kupitisha laana yake kwa wanadamu.
Hizo vita zote mnazo ziona msidhani ni vita za mwili na nyama jamani hizo ni vita kati ya FALME NA MAMLAKA(kati ya Mungu na shetani),si vita ndogo kama kunavyofikiri kibinadamu.
Hebu jiulizeni kwanini vita kuu zimekuwa katika kutaka kuifuta Israel duniani, mnadhani hiyo ni vita ya kibinadamu? Tazameni nini kilitokea kule Ujerumani, nafikiri mnajua kuwa Hitler alikuwa na lengo gani, tazameni nini kilitokea wakati wana wa Israel wanarudi nchini mwao toka Ujerumani(vita iliyopiganwa) mpaka waisrael kukaa pale.
Kwani hamjawahi kusikia Rais mmoja alisema anataka kuifuta Israel kwenye lamani?
Njua kwa macho ya kibinadamu wengi hamtanielewa.
Mweneye macho na asikie.
Huu ni ushauri wa bure kwa wanao ipinga na wanaoi-support(kama mimi) Israel.
Ukweli ni kwamba ukiitazama na kuitafakari Israel kisiasa,kijamii,kisayansi,kiuchumi na vyovyote vile ujuavyo kwa mtazamo wa kimwili(physical laws & human perseption) hakika utaishia kuchanganyikiwa na kuichukia sana Israel, amini nawaambia mkiitazama kwa macho ya rohoni(spiritually) na kuweka tofauti za kidini pembeni hakika mngekili utukufu wa Mungu aliye hai.
Kumbukeni(mnaoamini katika Mungu) kupitia Israel(mlango) Mungu ameukomboa ulimwengu na kupitia mlango huo huo shetani naye anafanya kila mbinu kutaka kupitisha laana yake kwa wanadamu.
Hizo vita zote mnazo ziona msidhani ni vita za mwili na nyama jamani hizo ni vita kati ya FALME NA MAMLAKA(kati ya Mungu na shetani),si vita ndogo kama kunavyofikiri kibinadamu.
Hebu jiulizeni kwanini vita kuu zimekuwa katika kutaka kuifuta Israel duniani, mnadhani hiyo ni vita ya kibinadamu? Tazameni nini kilitokea kule Ujerumani, nafikiri mnajua kuwa Hitler alikuwa na lengo gani, tazameni nini kilitokea wakati wana wa Israel wanarudi nchini mwao toka Ujerumani(vita iliyopiganwa) mpaka waisrael kukaa pale.
Kwani hamjawahi kusikia Rais mmoja alisema anataka kuifuta Israel kwenye lamani?
Njua kwa macho ya kibinadamu wengi hamtanielewa.
Mweneye macho na asikie.